Bunda: Madiwani wa CCM wagomea Madawati yaliyotolewa na Mbunge wa CHADEMA Mh. Bulaya

Wewe ni kipofu angalia miradi yote inayozinduliwa kuna majina ya walio zindua!!
Je walitoa fedha zao au walichangia
nini??
Mbunge Esther Bulaya katoa madawati kwa mfuko wa jimbo, angeamua kufadhiri Hospt ingekuwa sawa tuu!!
Madiwani acha ushabiki wa kijinga hata watoto wanao kaa chini watawashangaa??
 
Jf imepoteza uhalisia wake, kimegeuka kuwa chombo cha propaganda cha upinzani. Yetu macho!!
 
Ni mfuko wa jimbo pesa toka serikalini! Hajachangia yeye binafsi na pesa yake ya mfukoni kwanini aandike jina lake
 
Safi sana madiwani,
Kama umeamua kuchangia we changia tu,sasa kuandika majina ili iweje?

Cheap popularity itawaua Chadema.
Aisee naomba nisikupinge ila kuna mipira inagawiwa ina nembo ya chama chenu. Mbona hwajaikataa?
 
Safi sana madiwani,
Kama umeamua kuchangia we changia tu,sasa kuandika majina ili iweje?

Cheap popularity itawaua Chadema.

Watoto wakaklie madawati, ficheni ujinga wa akili mlio nao. Yangeandikwa kwa hisani ya watu wa marekani ni sawa, lakini sio jina la mbunge wao. Huu ujinga utaisha lini? Kwani yanaacha kuwa madawati kwa kuandikwa jina la mbunge

Ujinga wa madiwani hawa ni wa kiwango cha PhD
 
Kaka andika vizuri. Unakimbilia wapi? Acha hasira. Huu mchezo hauhitaji hasira!
 
kwahiyo ni bora watoto wakae chini?....nataka unipe faida za watoto kukaa chini na hasara ya jina kuwepo kwa hao watoto
 
two wrongs don't make a right...Huu ndio ulikuwa wakati muafaka wa CCM kuwaaibisha wenzao wa CHADEMA.Sio nao kuendekeza utoto wa kususasusa.
 
Madawati mengine yaliandikwa majina ya BAR yalipokelewa, iweje ya mbunge yakataliwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…