moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba madiwan wa ccm Jimbo La BUNDA MJINI wamekataa kuchukua madawati yaliyotolewa na mh Ester Bulaya kisa Yameandikwa jina la Mbunge huyo habari na Lucas Mhavile TN Bunda mjini