Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,638
- 8,570
Kuna ushahidi wa watu wengi tu binafsi waliochangia madawati lakini hawajaandika majina yao.
Kwani USA CORP ni jina la mtu?Acha ujinga mbona yaliyo andikwa USA CORP. hawajakataa? Hivi hata wewe unawazo mepesi kiasi hiki? Acha unafiki msema kweli ni mpenzi wa mungu
Tumia kichwa kufikiri hiyo yote ni misaada haata kama katoa paka si imetoka kwake?Kwani USA CORP ni jina la mtu?
Acha UNAA.
Aisee,kweli tuna safari ndefu kiongozi,walitaka yaandikwe 'KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI 'kweli elimu ni shidaMadiwani wa CCM Jimbo La BUNDA MJINI wamekataa kuchukua madawati yaliyotolewa na Mh Ester Bulaya kisa Yameandikwa jina la Mbunge huyo habari na Lucas Mhavile TN Bunda mjini
My Take;
Ikiandikwa kwa Msaada wa Marekani, China, Japan au kwa Msaada wa Manji Clinton Trump n.k, ndo inaonekana ya maana na tunashangilia sana. Watanzania tuna Safari ndefu kuifikia Tanzania ya Viwanda kama hali ndo hii huko Mikoani.
View attachment 377052 View attachment 377053
Mfuko wa jimbo siyo hela za Mbunge hivyo afute jina hilo mnara moja; HAO MADIWANI WAKO SAWA NA SAHIHIMadiwani wa CCM Jimbo La BUNDA MJINI wamekataa kuchukua madawati yaliyotolewa na Mh Ester Bulaya kisa Yameandikwa jina la Mbunge huyo habari na Lucas Mhavile TN Bunda mjini
My Take;
Ikiandikwa kwa Msaada wa Marekani, China, Japan au kwa Msaada wa Manji Clinton Trump n.k, ndo inaonekana ya maana na tunashangilia sana. Watanzania tuna Safari ndefu kuifikia Tanzania ya Viwanda kama hali ndo hii huko Mikoani.
View attachment 377052 View attachment 377053
Bora wangeandika kwa hisani ya watu wa marekaniSafi sana madiwani,
Kama umeamua kuchangia we changia tu,sasa kuandika majina ili iweje?
Cheap popularity itawaua Chadema.
Kinakuuma nini wew. Kwani yeye si ndo mbunge wa jimbo hilo!? Na wao watengeneze yakwao waandike majina yao. Waache uchama kikubwa maendeleo yapo
ANGEANDIKA JIMBO LA BUNDA; HUU NI MFUKO WA JIMBO SIO WA MBUNGE{{{{{{{{{{Watu wakielimika hawawezi kuwatawala . By the way mi naona poote wafadhili wanaweka chata zao.
Halafu hayajaandikwa CDM kama ndio wivu wenyewe
AKAFUNGUE NUSERY KWAKE ; SIO KUTUMIA JINA VIBAYA LA MFUKO WA JIMBO; HUU SIO MFUKO WA MBUNGENdiyo yamesha andikwa sasa hutaki kameze kokoto tujue kuwa umechukia
Nimeona majimbo mengine wame mention majina ya wabunge wao na hakuna noma. Kwa Bulaya sijui ni kwa sababu ni mtoto wa kambo ????!!!.ANGEANDIKA JIMBO LA BUNDA; HUU NI MFUKO WA JIMBO SIO WA MBUNGE{{{{{{{{{{
Kwani jina lina athiri nini!?Kuandikwa jina labda atoe Pesa zake za Mfukoni. Kama za Serikali hapana!