Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,750
- 26,337
Kagomboe bus la Lisu kule bandarini, acha kupoteza muda hapa.Pole sana kwa kutoroka mirembe
In God we Trust
Kagomboe bus la Lisu kule bandarini, acha kupoteza muda hapa.Pole sana kwa kutoroka mirembe
In God we Trust
Duh...!.
2015 alishindwa kwa sababu ya suti zile, 2020 anatinga na Sheria Ngowi
View attachment 1366599
P
Kagomboe bus la Lisu kule bandarini, acha kupoteza muda hapa.
Subiri msimu wa kuzungusha mikono, unakuja hivi karibuni. Tusipotezeane muda.
Subiri msimu wa kuzungusha mikono, unakuja hivi karibuni. Tusipotezeane muda.
Kijana wewe ni hatari huangalii sura mradi kuwe na maslahi tu mara hii umeshamrukia bulaya!Mkutano wa Mhe. Esther Bulaya Mbunge wa Bunda Mjini (Kiboko ya Wasira) akizungumza na Wananchi wa Jimbo lake hii leo.
Like Kama unamuelewa Komandoo wa Wasira.
Endeleeni kujidanganya kuwa upinzani umekufa sisi kwetu ni vitendo tu. View attachment 1366576
In God we Trust
Kijana wewe ni hatari huangalii sura mradi kuwe na maslahi tu mara hii umeshamrukia bulaya!
Duh! CHADEMA ni kiboko yao
Kijana wewe ni hatari huangalii sura mradi kuwe na maslahi tu mara hii umeshamrukia bulaya!
Wakiona hivi CCM na wao wanaanza kuandaa Mafuso hehehehee...mwe!
Oh mikutano ya hadhara imekatazwa, sasa huu ni nini?
Hapana anamuaga Mama yako.Anawaaga wananchi
Subiri msimu wa kuzungusha mikono, unakuja hivi karibuni. Tusipotezeane muda.