Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
kwahili tuache siasa. Jm umekuwa mbunifr na bumbuli kweli itafaidika na hasa ukichanganya na ubunge wako hapa mambo yatakuwa mazuri. wabunge wengine wajifunze hili by cdm member
Jamaa anaakili sana ndomana wengi hawamuelewi. Kawa weka hao watu akivizia pesa za wafadhili ili afanikishe project yake sidhan kama mfadhil akiiona board of directors hii atakataa kutoa hela zake
Najimu naye ni DR, mmmmh hapana!!!!!!!!!!! ila nawatakia kazi njema katika kujitafutia ulaji.
Si lazima kutakauwa na Bumbuli Development Plan walau ya miaka 3 ambayo inatekelezwa na wananchi wa Bumbuli na hii Bumbuli Development Co. inasaidia kuchangisha fedha na wataalam kwaajili ya utekelezaji wa plan hiyo? Sitaki kupata hata hisia kuwa eti hii co haina plan NO. Bumbuli watafaidika na utekelezwaji wa plan ambayo inasaidiwa na hii Co kama nilivyoeleza hapo juu. Na last AND least ni kuwa hii Co itasaidia kuvutia wawekezaji kwenda Bumbuli binafsi siamini kama wawekezaji wanaleta maendeleo najua wimbo maarufu ambao sishiriki kuimba ila wanasiasa kama January lazima watakuimbia wimbo huu.bumbuli itafaidika vip?....
Akishindwa ubunge itakuwaje? Au ndio hiyo bumbuli project nayo itakufaa???...
Nakubali kuwa hilo wazo ni zuri na litasaidia wananchi if and only if wazo lingekuwa limezaliwa/limezalishwa na wanachi wenyewe na mbunge akajiunga nao ili kutoa support na ku-nurture ideas za wananchi kuwa reality...
turning peoples dreams to realities and not your dream to peoples realities.
Good call.Is this a Bumbuli thing or just a joke to people of Bumbuli? It looks like an international club of wise men and women. I don't see any tangible results out of that time. I believe most of the board members have their own villages and problems to deal with! Let's wait and see!
makamba jembe! nilisema na nitaendelea kusema.. makamba huwa anafanya.. hapigi domo..
makamba jembe! nilisema na nitaendelea kusema.. makamba huwa anafanya.. hapigi domo..
How do you explain this?
I have no problem with their CVS', very comprehensive but I am a bit doubtful with their commitment to BDC, All those guys are international figures there is no way BDC could be their priority. January Bumbuli Development does need need the International figures with PHD's it only needs wisdom and commitment which I am sure you only needed some reputable figures on the ground to help you in implementation - PM me I will show you the HOW and not the WHO.
how do you explain this?
How do you explain this?
what exactly should i explain...?
have you heard of something known as Photoshop ..?!