Bulembo: Wasiotaka Magufuli awe Mwenyekiti CCM waondolewe

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,306
25,929
1468258175261.jpg
Rai hiyo imetolewa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM. Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo,Abdallah Bulembo,amewaonya wote wanaoshiriki jambo hilo kuacha mara moja.

Amesema Rais Magufuli,baada ya kuwanyoosha wafanyakazi Serikalini anapaswa sasa kuwanyoosha wana-CCM ndani ya chama hicho.
 
Rai hiyo imetolewa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM. Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo,Abdallah Bulembo,amewaonya wote wanaoshiriki jambo hilo kuacha mara moja.

Amesema Rais Magufuli,baada ya kuwanyoosha wafanyakazi Serikalini anapaswa sasa kuwanyoosha wana-CCM ndani ya chama hicho.

Wanaoafiki waseme NDIYO...
Wasioafiki waseme SIYO...
Ndiyo
 
Mshauri mkuu wa Rais Magufuli katika masuala ya kisiasa za ndani na za kimataifa Mh.Abdala Bulembo amemshauri rais na mwenyekiti mtarajiwa wa CCM kuwaondoa wote wanaompinga na kupiga debe Magufuli asiwe mwenyekiti wa chama.Mh.Bulembo ametoa ushauri huo akihojiwa na ITV
 
WanaCCM wanapinga Rais Magufuli kukabidhiwa uenyekiti wa CCM:
Hayo yamedihirishwa na kauli ya MwanaCCM kindakindaki Abdalah Bulembo ambaye ni mtu wa karibu sana na ambaye alikua kampeni meneja wa Rais Magufuli ambapo amemtaka Rais kuwatumbua wanaCCM wote wanaojaribu kupinga yeye kukabidhiwa uenyekiti wa CCM taifa.

Source: ITV

Mytake:
Bundi wa mwendokasi atua Lumumba.
1468258175261.jpg
 
Ya Bulembo, Mukulu na UDP yametimia...

Kweli JF kiboko....

Ile kauli ya Gwajima ilikuwa preemptive Strategy, Gwajima karudi kaachiwa ndani ya nusu saa kaelekea kanisani kwake kuhubiri kama kawaida, kesi ya uchochezi na mkwara wa kamanda Sirro wa kusakwa na Interpol imetupwa kapuni.

Wacha movie iendelee.....

UDP is the next move...........
 
Mshauri mkuu wa Rais Magufuli katika masuala ya kisiasa za ndani na za kimataifa Mh.Abdala Bulembo amemshauri rais na mwenyekiti mtarajiwa wa CCM kuwaondoa wote wanaompinga na kupiga debe Magufuli asiwe mwenyekiti wa chama.Mh.Bulembo ametoa ushauri huo akihojiwa na ITV

Kwanini chama hiki kikongwe na kilichobobea katika kukuza demokrasia nchini kisiruhusu wanachama kutumia haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kumpigia debe mwanaccm/wanaccm ambao wanadhani wanafaa kuwa mwenyekiti wao?

Makada wa chama cha mapinduzi MsemajiUkweli MwanaDiwani, Mzee Mwanakijiji, ZeMarcopolo na wengineo, tafadhali tusaidieni tuelewe nini kinaendelea.
 
Mshauri mkuu wa Rais Magufuli katika masuala ya kisiasa za ndani na za kimataifa Mh.Abdala Bulembo amemshauri rais na mwenyekiti mtarajiwa wa CCM kuwaondoa wote wanaompinga na kupiga debe Magufuli asiwe mwenyekiti wa chama.Mh.Bulembo ametoa ushauri huo akihojiwa na ITV
Yaani Magufuli na PHD yake anashauriwa na mtu wa darasa la saba?
 
Back
Top Bottom