radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM-Taifa), Abdallah Bulembo amesema CCM ya awamu ya tano si ya majaribio, bali ni kukitumikia chama pamoja na wananchi na kutaka wanaotumia fedha kupata madaraka kutochaguliwa.
Angalizo
Hapo sijajua bulembo anakusudia nini ikiwa madiwani wa arusha wananunuliwa ktk awamu hii ya tano ambayo yeye anaona wanapiga vita rushwa wakati wao ni vinara wa kutoa.
[HASHTAG]#rushwa[/HASHTAG] ndani ya ccm ni vigumu kuitokomeza#
(CCM-Taifa), Abdallah Bulembo amesema CCM ya awamu ya tano si ya majaribio, bali ni kukitumikia chama pamoja na wananchi na kutaka wanaotumia fedha kupata madaraka kutochaguliwa.
Angalizo
Hapo sijajua bulembo anakusudia nini ikiwa madiwani wa arusha wananunuliwa ktk awamu hii ya tano ambayo yeye anaona wanapiga vita rushwa wakati wao ni vinara wa kutoa.
[HASHTAG]#rushwa[/HASHTAG] ndani ya ccm ni vigumu kuitokomeza#