huyu bulembo aliwahi kuwa diwani musoma mjini kata ya nyasho akakomba pesa za vijana akatelekeza kata na wapiga kura wake
Kwa kuongeza:
Bulembo HAJUI kusoma wala kuandika!!
kabla hajaingia kwenye siasa alikuwa ana banda la kuuza mitumba pale Musoma stand
Huu ushauri Bulembo kapewa na mshauri wake mkuu na mpambe wake wa karibu huyu hapa
View attachment 128598
Huu ushauri Bulembo kapewa na mshauri wake mkuu na mpambe wake wa karibu huyu hapa
View attachment 128598
duh..mbona hilo libaba lipo katikati ya kina mama?Huu ushauri Bulembo kapewa na mshauri wake mkuu na mpambe wake wa karibu huyu hapa
View attachment 128598
Huu ushauri Bulembo kapewa na mshauri wake mkuu na mpambe wake wa karibu huyu hapa
View attachment 128598
Kwa kuongeza:
Bulembo HAJUI kusoma wala kuandika!!
kabla hajaingia kwenye siasa alikuwa ana banda la kuuza mitumba pale Musoma stand
Dah kweli inasimitisha sana zile shule walizojenga watanzania hatimaye CCM kujimilikisha na kuita za jumuiya ya wazazi wenye matumbo wamekula na nyingi zinakaribia kufa,huyo hapo juu si mkuu wa shule ya Sekondari uchira bwana Mungure nafikiri hapo anatafakar jinsi ya kujieleza kweny hicho kikao.
Wakuu wa shule hizo wanamlalamikia bwana bulembo na viongozi wengine ambao wanatoka makao makuu kuchukua kwenye mafungu kwenye shule hizo za kufanya starehe wanapokauwa mkoani hapa na kuziacha shule hizo hoi kiuchumi na nyingine ziko mbioni kufa ikiwemo ya Kibo secondari,Namvua ,kahe,Mangia na Wari sekondari.