Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
duh..mbona hilo libaba lipo katikati ya kina mama?
Alafu usikute ni Kitchen Party, sasa jiulize Mwanaume unaingiaingia vipi humo.
duh..mbona hilo libaba lipo katikati ya kina mama?
Hivi huko hakuna wabunge? Madiwani? Na wenyeviti? Kwanini wasihamasishe kujenga shule nyingine za kwao za wanachi za kata na kuachana na hizo za MACCM japo nazenyewe ni wameiba nguvu za wananchi ?
Shule zipo za Kata ila hoja hapa ni kwamba zile shule zilizojengwa kwa nguvu za umma na baadae kupokwa ba CCM nazo zinaelekea kufa licha ya kuwa shule hizo zilikuwa zikifanya vizur kwani zilikuwa na uchum kwa kuwa na vitega uchum na n tofaut na za kata kwani utoaji wake wa elim ulikuwa umejitosheleza sana ukilinganisha na hizi zinazoanzishwa wakati huu zinaitwa za Kata na zilikuwa zikifanya vizuri.
....
Mkuu umekuwaje tena kuuliza majibu? Kwani mpambe wa Bulembo na mshauri wake katika kutoa pumba ni nani?huyo wanadada au huyo kubwa jinga au unamsrmea Wily Malecela...
Mbona mimi namfahamu vizuri, kwa maana ni rafiki yangu tangu tupo wadogo na pale Nyasho nyumba zetu zilikuwa zikitizamana,
Kwetu ni pale kwa Mzee Kisunda/Mzanaki wa Buhemba,
Kuuza mitumba kunamzuia mtu kuingia katika SIASA ama ni chuki tu binafsi?
Huu ushauri Bulembo kapewa na mshauri wake mkuu na mpambe wake wa karibu huyu hapa
View attachment 128598
cc;sintah.comha ha ha ha mzee wa totoz. Hapo yupo katikati ya msitu kama kawaida yake.