Bulembo atoa amri halali kusaidia kuangamiza CHADEMA

KARAMAG

Member
Mar 8, 2013
63
74
Hali ya kifedha ndani ya Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi ni tete, Mwenyekiti wa Jumuiya Hiyo Abdala Bulembo ameagiza kila Mwanafunzi anayesoma katika shule zinazomilikiwa na jumuiya hiyo achangie shilingi laki moja akishindwa ajiondoe, lengo la pesa ni kusaidia mfuko wa kuishughulikia Chadema na kuwafadhili wanaosaidia kuisambaratisha. Mkoani Kilimanjaro leo kulikuwa na Kikao cha mkoa kuimairisha Jumuiya na chama Mkoa huo. Baada ya Wanachama kukosa pesa ya chakula hali ilikuwa hivi, angalia Picha
 

Attachments

  • chama2 (1).JPG
    chama2 (1).JPG
    493.3 KB · Views: 1,042
  • chama2 (2).JPG
    chama2 (2).JPG
    542.6 KB · Views: 2,421
Dah kweli inasimitisha sana zile shule walizojenga watanzania hatimaye CCM kujimilikisha na kuita za jumuiya ya wazazi wenye matumbo wamekula na nyingi zinakaribia kufa,huyo hapo juu si mkuu wa shule ya Sekondari uchira bwana Mungure nafikiri hapo anatafakar jinsi ya kujieleza kweny hicho kikao.

Wakuu wa shule hizo wanamlalamikia bwana bulembo na viongozi wengine ambao wanatoka makao makuu kuchukua kwenye mafungu kwenye shule hizo za kufanya starehe wanapokauwa mkoani hapa na kuziacha shule hizo hoi kiuchumi na nyingine ziko mbioni kufa ikiwemo ya Kibo secondari,Namvua ,kahe,Mangia na Wari sekondari.
 
Nilishasema tangu zamani, hili ni janga, tutaendelea kuchangia michango ya sekondari na michango ya kusaidia kusambaratisha chadema tutakuwa masikini. Tunakoelekea sio vizuri akina mama tubadilike
 
ukisikia nguvu wa soko ndiyo hiyo kwa wale waliosoma economics wanaelewa sana hiii free market, people will always vote with their monies. you cook a louse food the forces of free market will wipe you out. they have been providing below standard education for along time now the forces of market is catching up with them. shule za kata should have been in the same on the same path but thanks to tax payers subsidy.
 
Nina mpango wa kuchukua Kibo sekondari, wanakodisha kwa shilingi ngapi kwa mwaka ?
 
Nyie endeleeni kuchangisha fedha kwa nia yenu ovu. hivi mnajua kwamba hata serikali ya JK haina fedha?
 
huyu bulembo aliwahi kuwa diwani musoma mjini kata ya nyasho akakomba pesa za vijana akatelekeza kata na wapiga kura wake
 
Huu ushauri Bulembo kapewa na mshauri wake mkuu na mpambe wake wa karibu huyu hapa
ImageUploadedByJamiiForums1387920031.220197.jpg
 
huyu bulembo aliwahi kuwa diwani musoma mjini kata ya nyasho akakomba pesa za vijana akatelekeza kata na wapiga kura wake

Kwa kuongeza:
Bulembo HAJUI kusoma wala kuandika!!

kabla hajaingia kwenye siasa alikuwa ana banda la kuuza mitumba pale Musoma stand
 
Kwa kuongeza:
Bulembo HAJUI kusoma wala kuandika!!

kabla hajaingia kwenye siasa alikuwa ana banda la kuuza mitumba pale Musoma stand

Mbona mimi namfahamu vizuri, kwa maana ni rafiki yangu tangu tupo wadogo na pale Nyasho nyumba zetu zilikuwa zikitizamana,
Kwetu ni pale kwa Mzee Kisunda/Mzanaki wa Buhemba,

Kuuza mitumba kunamzuia mtu kuingia katika SIASA ama ni chuki tu binafsi?
 
Dah kweli inasimitisha sana zile shule walizojenga watanzania hatimaye CCM kujimilikisha na kuita za jumuiya ya wazazi wenye matumbo wamekula na nyingi zinakaribia kufa,huyo hapo juu si mkuu wa shule ya Sekondari uchira bwana Mungure nafikiri hapo anatafakar jinsi ya kujieleza kweny hicho kikao.

Wakuu wa shule hizo wanamlalamikia bwana bulembo na viongozi wengine ambao wanatoka makao makuu kuchukua kwenye mafungu kwenye shule hizo za kufanya starehe wanapokauwa mkoani hapa na kuziacha shule hizo hoi kiuchumi na nyingine ziko mbioni kufa ikiwemo ya Kibo secondari,Namvua ,kahe,Mangia na Wari sekondari.

Hivi huko hakuna wabunge? Madiwani? Na wenyeviti? Kwanini wasihamasishe kujenga shule nyingine za kwao za wanachi za kata na kuachana na hizo za MACCM japo nazenyewe ni wameiba nguvu za wananchi ?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom