CASTRO PEMBA
Member
- Jul 29, 2015
- 85
- 50
Juzi katika mkutano wa kampeni wa ccm mkoani tabora, BULEMBO, amesisitiza kua katu,hawawez kutoa IKULU kwa wapinzani"
Ndio nani huyu? Mbongo flavor ama?
Hatuna muda wa kumjadili mtu mwenye elimu ya darasa la saba,bulembo ni zero
Safari hii hatudanganyiki watanzania tumeamua kumpeleka Lowassa Ikulu kwa gharama zetu wenyewe pasipo kutegemea gharama za mtu yeyote wa kijani,kama hawatakuwa tayari kukabidhi Ikulu kwa mtu ambaye watanzania tumehiari kumpeleka Ikulu,wao watafute nchi ya kwenda kuishi ambayo hawatakuwa tayari kuachia Ikulu,kama ni Tanzania hiihii tutanyooka nao mtaa kwa mtaa mpaka rangi zao za kijani hazita kuwa kijani tena tutazigeuza na kuwa nyekundu.
Asante sana mkuu kwa kuliona hilo.Ngoja niweke sawa alivyosema "Vyote tutawapa lakini sio ikulu".
Binafsi nilishangaa sana na kuhoji ile kauli ina maana gani bila majibu!Huyu gamba ahojiwe na aeleze alikuwa na maana gani kusema vile.
Juzi katika mkutano wa kampeni wa ccm mkoani tabora, BULEMBO, amesisitiza kua katu,hawawez kutoa IKULU kwa wapinzani"
Ana maana ya alichokisema, tatizo ni nini?
Tuwawachie Ikulu kwa lipi zaidi?
Tunahakikisha Magufuli anaingia Ikulu kwa tiketi ya CCM, si vingine.
Juzi katika mkutano wa kampeni wa ccm mkoani tabora, BULEMBO, amesisitiza kua katu,hawawez kutoa IKULU kwa wapinzani"
Asante sana mkuu kwa kuliona hilo.Ngoja niweke sawa alivyosema "Vyote tutawapa lakini sio ikulu".
Binafsi nilishangaa sana na kuhoji ile kauli ina maana gani bila majibu!Huyu gamba ahojiwe na aeleze alikuwa na maana gani kusema vile.
Asante sana mkuu kwa kuliona hilo.Ngoja niweke sawa alivyosema "Vyote tutawapa lakini sio ikulu".
Binafsi nilishangaa sana na kuhoji ile kauli ina maana gani bila majibu!Huyu gamba ahojiwe na aeleze alikuwa na maana gani kusema vile.