eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Jeshi la police limeishambulia kwa mabomu ya machozi office za CHADEMA Makambako Iringa na kutawanya wananchi walioondoka kwenye mkutano wa CCM na Magufuli Jana
Wananchi hao walidaiwa kumzomea bulembo kwenye mkutano huo wa magufuli kwenye mji mdogo wa makambako
Ofisa wa kampeni wa CHADEMA Aldo Mlote aliwatuhumu police kwa kutumika vibaya kukibeba CCM kila kinaposhindwa hoja majukwaani. Mloto alisema police walirusha mabomu kwenye office za chadema na kuwakamata watu kumi na tano
Alisema mabomu hayo yalirushwa baada ya Bulembo kuuliza kama kwenye mkutano huo kuna wafuasi wa CHADEMA ambapo wengi waliokuepo kwenye mkutano huo walinyoosha vidole viwili juu kumaanisha kuwa wapo
Ndipo Bulembo alipoanza kumkashifu Edward Lowassa kuwa ni mgonjwa jambo lililosababidha azomewe mpaka kushindwa kuendelea kuongea.
Kabla ya mkutano huo kulikua na madai kuwa kadi za CHADEMA ziligawiwa watu na kupewa 30,000 kila mmoja ili wazirudishe kwenye mkutano huo kumfurahisha Magufuli mbinu iliobainika na watu mapema.
Ndipo baadhi ya watu walienda kutoa taarifa katika office za CHADEMA Hivyo katika mchezo huo walibaki watu watano waliorudisha kadi hizo
Pamoja na Magufuli kuomba wamchague mkutano huo ulifungwa huku watu waliokua kwenye mkutano huo wakiondoka kuzifuata office za CHADEMA kwa shamrashamra na nyimbo kitu kilichofanya police kuwatawanya kwa mabomu.
My take
Watu wameichoka CCM kila mkutano wa CCM na Magufuli si wote ni wana CCM kwa sasa watu wanataka mabadiliko ya UKAWA na Lowassa.
Wananchi hao walidaiwa kumzomea bulembo kwenye mkutano huo wa magufuli kwenye mji mdogo wa makambako
Ofisa wa kampeni wa CHADEMA Aldo Mlote aliwatuhumu police kwa kutumika vibaya kukibeba CCM kila kinaposhindwa hoja majukwaani. Mloto alisema police walirusha mabomu kwenye office za chadema na kuwakamata watu kumi na tano
Alisema mabomu hayo yalirushwa baada ya Bulembo kuuliza kama kwenye mkutano huo kuna wafuasi wa CHADEMA ambapo wengi waliokuepo kwenye mkutano huo walinyoosha vidole viwili juu kumaanisha kuwa wapo
Ndipo Bulembo alipoanza kumkashifu Edward Lowassa kuwa ni mgonjwa jambo lililosababidha azomewe mpaka kushindwa kuendelea kuongea.
Kabla ya mkutano huo kulikua na madai kuwa kadi za CHADEMA ziligawiwa watu na kupewa 30,000 kila mmoja ili wazirudishe kwenye mkutano huo kumfurahisha Magufuli mbinu iliobainika na watu mapema.
Ndipo baadhi ya watu walienda kutoa taarifa katika office za CHADEMA Hivyo katika mchezo huo walibaki watu watano waliorudisha kadi hizo
Pamoja na Magufuli kuomba wamchague mkutano huo ulifungwa huku watu waliokua kwenye mkutano huo wakiondoka kuzifuata office za CHADEMA kwa shamrashamra na nyimbo kitu kilichofanya police kuwatawanya kwa mabomu.
My take
Watu wameichoka CCM kila mkutano wa CCM na Magufuli si wote ni wana CCM kwa sasa watu wanataka mabadiliko ya UKAWA na Lowassa.