Kikazi he is hardworking but mrasimu sana hata kwenye issue zilizo wazi..... Anajisikia sana na hii ni hulka ya wana uwt especially akiwa na shule ya aina yake, kitaaluma huyu pale mlimani alikuwa kama mzee ngasongwa alivyokuwa sua tu... Wasomi wa ukweli ++++kujiamini kwa nguvu za uwt+++ kuchukiwa na wasomi wasio na touch na ikulu ya magogoni..... Basi maisha yanakuwa ni isolation kwenda mbele.
Nahisi mazingira haya usomi, uanataaluma na ukachero umemuondoa sana ktk social life bukuku...hana chembe ya siasa kitu ambacho dkt. Ngasongwa amekuwa nacho tangu ujana wake uwt,taaluma na utumishi dolani.
Hongera mnyambala......tutendee haki huko eac.