theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,715
Nimetoka huko juzi juzi tu... Mji uko vile haujaongezeka chochote ukiacha lile jengo jipya la NSSF kidogo ndio limebadilisha mji kidogo.....
Ndio maana nimemwambia kiustaarabu aniambie liko maeneo gani?Utamuua Huyo ana anachojua, yupo nyuma ya keyboard anavyatuka tuu. MTU aende akajenge ghorofa 12 Kwa watu ambao hata vitu vidogo kama Simu wanashindwa kununua
Ha ha haaaa!! Kwa ushirikina tu hapo wametupiga bao mkuu. Wapo wanatoa kafara sasa hivi wakati sisi tunarudi nyumbani vijijini kwenye mahekalu yetu ya kifahari na magari magari yetu ya kifahari kuenjoy na familia zetumatambiko hayataki kupigwa picha
Hebu atazame beach zinavyojaa na ni miguu yako tu kufika bk raha sanaKushindwa hakuna excuse mkuu. Excuse ni kuhalalisha kushindwa katika hali ambayo ni kutafuta huruma ya watu.
Poleni sana wachaga. Ndo mkome kujilinganisha na Bukoba. Kisa kile kibarabara kimoja chenye 2 in 1 na kajengo ka NSSF. Shame!
Karibuni twende beach kali za Bukoba, maji malaini hayana chumvi, mchanga mweupeee, upepo kama peponi. Hivi vitu hautavipata Moshi hata iweje. Endeleeni kuwa na hicho kichuguu chenu cha Kilimanjaro ambacho wazungu wanakipanda kila siku na nyie wachaga mnakiangalia tu ni almost 10% ya wachaga ambao mmeshakipanda wengine mnaishia kujisifia mna mlima Kilimanjaro.
Sisi Bukoba raia wote wanafika beach za ziwa kubwa kuliko yote Afrika na kula maisha na familia zao. Life is exciting in Bukoba. Karibuni
Utamuua Huyo ana anachojua, yupo nyuma ya keyboard anavyatuka tuu. MTU aende akajenge ghorofa 12 Kwa watu ambao hata vitu vidogo kama Simu wanashindwa kununua
Watalii wote wanaopanda mlima kilimanjaro wanakaa Arusha na wengine wanatokea Kenya, moshi wapo wanzubaa tuKushindwa hakuna excuse mkuu. Excuse ni kuhalalisha kushindwa katika hali ambayo ni kutafuta huruma ya watu.
Poleni sana wachaga. Ndo mkome kujilinganisha na Bukoba. Kisa kile kibarabara kimoja chenye 2 in 1 na kajengo ka NSSF. Shame!
Karibuni twende beach kali za Bukoba, maji malaini hayana chumvi, mchanga mweupeee, upepo kama peponi. Hivi vitu hautavipata Moshi hata iweje. Endeleeni kuwa na hicho kichuguu chenu cha Kilimanjaro ambacho wazungu wanakipanda kila siku na nyie wachaga mnakiangalia tu ni almost 10% ya wachaga ambao mmeshakipanda wengine mnaishia kujisifia mna mlima Kilimanjaro.
Sisi Bukoba raia wote wanafika beach za ziwa kubwa kuliko yote Afrika na kula maisha na familia zao. Life is exciting in Bukoba. Karibuni
Chaliiiiii! Kifo cha mende akina Mangi. Acheni sifa endeleeni kuiba tu kama jadi yenu.Kukaa hapa kushindanisha moshi na bukoba ni dharau kubwa sana kwa Moshi.
Bukoba haina hadhi hata ya Rombo
Nami nimetoka last week. Bahati mbaya sana wameingia cha kike kubishana na wanaozijua vizuri sehem zote mbili. Ni aibuNimetoka huko juzi juzi tu... Mji uko vile haujaongezeka chochote ukiacha lile jengo jipya la NSSF kidogo ndio limebadilisha mji kidogo.....
Tofouti ya moshi ya mwaka 2010 na 2017 ni kuongezeka kwa jengo la NSSF labda kidogo na club Redstone....
Hebu nikutajie majengo yaliongezwa bukoba baada ya tetemeko mwaka Jana.ihungo Geneva maghorofa zaidi ya 10 na mijengo 30 ya walimu,bukoba shopping mall ujenzi unaendelea,stendi ya mabasi ujenzi unaendelea, jengo la jeshi chemba,nhc kashozi road ujenzi unaendelea, father residents rumuli,na mengine nakusogezea pichaNimetoka huko juzi juzi tu... Mji uko vile haujaongezeka chochote ukiacha lile jengo jipya la NSSF kidogo ndio limebadilisha mji kidogo.....
Hapa tofouti ya moshi ya mwaka 2010 na 2017 ni kuongezeka kwa jengo la NSSF labda kidogo na club Redstone....
Hata unge-google unaambulia nssf tu, ukiingia website ya mkoa post mpya ni ya April 2017 kama si kulala kiakili ni nini????Ndio maana nimemwambia kiustaarabu aniambie liko maeneo gani?
Mkuu ikiwezekana aweke picha kutoka Google....
Nafikiria hivyo mkuu... kidogo nilivyofika arusha ndio kulikuwa kumebadilika kwelikweli tofouti na ile ya mwaka 2010......Nami nimetoka last week. Bahati mbaya sana wameingia cha kike kubishana na wanaozijua vizuri sehem zote mbili. Ni aibu
Bora umesema ukweli wamepakimbia kwao maisha hayaendi huko wapo mjini wanafanya utapeliNimetoka huko juzi juzi tu... Mji uko vile haujaongezeka chochote ukiacha lile jengo jipya la NSSF kidogo ndio limebadilisha mji kidogo.....
Tofouti ya moshi ya mwaka 2010 na 2017 ni kuongezeka kwa jengo la NSSF labda kidogo na club Redstone....
Ila project ya Ihungo nimeilewa kwelikweli.... siku ikikamalika naamini bukoba itakuwa na mwonekano dhahiri kabisa mkuuHebu nikutajie majengo yaliongezwa bukoba baada ya tetemeko mwaka Jana.ihungo Geneva maghorofa zaidi ya 10 na mijengo 30 ya walimu,bukoba shopping mall ujenzi unaendelea,stendi ya mabasi ujenzi unaendelea, jengo la jeshi chemba,nhc kashozi road ujenzi unaendelea, father residents rumuli,na mengine nakusogezea picha
Ndio jengo wanalojivunia kwa sasa...Hata unge-google unaambulia nssf tu, ukiingia website ya mkoa post mpya ni ya April 2017 kama si kulala kiakili ni nini????
Kulinganisha dodoma na moshi utakuwa umewakosea heshima watu wa dodomaNafikiria hivyo mkuu... kidogo nilivyofika arusha ndio kulikuwa kumebadilika kwelikweli tofouti na ile ya mwaka 2010......
Nadhani dodoma ishaipiku moshi tayari maana si kwa project zile zinazoendelea mjini.....
Na hii ni tangu tetemeko limetokea, juzi tu hapa! Shikamoo BukobaHebu nikutajie majengo yaliongezwa bukoba baada ya tetemeko mwaka Jana.ihungo Geneva maghorofa zaidi ya 10 na mijengo 30 ya walimu,bukoba shopping mall ujenzi unaendelea,stendi ya mabasi ujenzi unaendelea, jengo la jeshi chemba,nhc kashozi road ujenzi unaendelea, father residents rumuli,na mengine nakusogezea picha
Watu tumeshajua mbivu na mbichi hatufanganyiki tena. Hata waalikane wote wachangie kwa ngonjera, tunataka picha za kwao tu. Za Bukoba waziache. Wamebakiza takwimu kwenye makaratasi tu sasaLeo ama kesho tutarajie mpuuzi mmoja atakuja na uzi akijifanya kuijua bukoba na kwamba imechoka, kumbe yupo huko mbege imemkolea hajui chochote