Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Simu zenyewe zenye Camera, wanazo walivyo wabairi. Wanaingia kwenye Jamii Forum Kwa laptop za kuazima. Ubairi sana na ndio Maana Kilimanjaro inaitwa mkoa wa wagumu
Mkuu kama unataka kufa na njaa, kaanzishe bihashara kilimanjaro! Kwanza kujua tu kwamba we si mchagga hawaji kununua kwako mwishowe unafirisika na kurudi kwenu
 
Ila sifa hizo zinatangaza bukoba na kukua kitalii.moshi hamna uzalendo wa kutangaza mji wenu na KLM mpaka wanasema mlima uko Kenya mnatuabisha sana
Watu wa Kilimanjaro ni Wabairi sana, MTU anashindwa kununua Simu ya kichina hata ya kueleweka kupiga picha matukio na ndio Maana wakenya wanajitangaza mlima Kilimanjaro wao na wenyewe wamekaa kama mazombi yasiyojielewa. Dunia nzima iliona wakati Uganda ilivyosema kagera ya kwao, lakini wachaga hamna kitu, business nyingi zilianza kuwashinda na kukimbilia serikalini hili kupiga dili, sasa ivi kariakoo mmeshindwa biashara sijui mtakimbilia wapi? Nauli ya dar es salaam kwenda Kilimanjaro ni 25,000 lakini MTU kusafiri ni Mara moja Kwa mwaka na bado MTU akienda anataka arudi kabeba vyàkula kufidia nauli yake
 
Mtu anasema wahaya hawajengi kwao!! Inachekesha sana. Na hayo ma bangaloo/ palaces huko vijijini yanajengwa na wachaga??

Ukitaka ujue wahaya wamesambaa na kujenga katika miji mingine usipate tabu sana. Nenda Mwabza ukae siku 3 tu na usifanye uvhunguzi wowote we fanya ishu zako zilizokupeleka, utajua tu kwamba almost 40% ya investments za Mwanza ni mhaya mtupu kabla huja consider makabila mengine na wasukuma wenyewe wakiwemo wenye Mwanza yao! Hii haiitaji kubishiwa ni jambo la kufika Mwanza ba kujionea.

Miji ya Uganda kama Mbalala, Kyotera, Masaka na Kampala ukienda kutoka Tz unakuta watz % kubwa wenye investments huko ni kutoka Kagera!

Moshi acheni kudanganywa na takwimu nyuma ya kioo, vitu vingine vinahitaji ufike kwenye field! Ila kwa ubishi wenu najua mtabisha tena kwa maneno ya shombo (mmeanza kuwa wazaramo) bila hata evidence. Karibuni kwa povu tu maana najua evidence hamna
 
Hebu niwape vyombo dini bukoba ni kitu muhimu sana kanisa katoliki na upadre tz ulichipukia huko mapadre wa kwanza tz.askofu wa kwanza tz na kardinali wa kwanza mweusi anatokea huko na amezikwa kwenye kanisa zuri sana kuliko yote na refu Africa mashariki nzima na Africa likishika nafasi za juu ni kanisa la kikardinali mwenyewe ndo huyo .na kanisa ni hili lipo miembeni bukoba
 
Pole sana mkuu. Naona sasa kwa upande wa uzuri wa mji mmeshakubali kukaa! Haya twende kwenye takwimu unazozitaka wewe. Moshi nyang'anyang'a
 
Mambo ya kidini bukoba ntungamo major seminary inakuhusu
 


Ongelea figure kama hizi achana na ujinga wa kelele za vijengo vya ghorofa 3. ..fact never lay..
Kifo cha mendeeeeee!!! Yaani tuanze kusoma namba wakati picha zipo??? In some aspects hapo kwenye hizi takwimu zako Kilimanjaro imeaiacha mbali Dar. Sasa sijui mnataka kutwambia Moshi pia imeizidi Dar kwa maendeleo! Hamshindwi kusema mnaizidi Dar maana wachaga siku hizi mmekuwa na sifa hata wahaya hawaoni ndani!


Kweli ukizidiwa unatafuta pa kufia. Mtaleta hata takwimu za usafi sasa


Wachaga bwana. Tatizo hamuijui Bukoba. Tafuteni ligi na angalau na Morogoro au hata Kigoma. Maana ndio kidogo mnaelelekeana.

Nami nawaambia stend ya Bukoba ikikamilika msiizoee kabisa Bukoba. Tutawashindanisha na Kigoma
 
Mkuu naomba unitajie jengo la ghorofa 12 linalopatikana moshi?
 
Kushindwa hakuna excuse mkuu. Excuse ni kuhalalisha kushindwa katika hali ambayo ni kutafuta huruma ya watu.

Poleni sana wachaga. Ndo mkome kujilinganisha na Bukoba. Kisa kile kibarabara kimoja chenye 2 in 1 na kajengo ka NSSF. Shame!

Karibuni twende beach kali za Bukoba, maji malaini hayana chumvi, mchanga mweupeee, upepo kama peponi. Hivi vitu hautavipata Moshi hata iweje. Endeleeni kuwa na hicho kichuguu chenu cha Kilimanjaro ambacho wazungu wanakipanda kila siku na nyie wachaga mnakiangalia tu ni almost 10% ya wachaga ambao mmeshakipanda wengine mnaishia kujisifia mna mlima Kilimanjaro.

Sisi Bukoba raia wote wanafika beach za ziwa kubwa kuliko yote Afrika na kula maisha na familia zao. Life is exciting in Bukoba. Karibuni
 
Kukaa hapa kushindanisha moshi na bukoba ni dharau kubwa sana kwa Moshi.

Bukoba haina hadhi hata ya Rombo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…