Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
naona umeona maji yamezidi unga unaweka mpira kwapani
n wapi nimetumia lgha chafu?
hahahaha yaan ki stand mnachojenga ambacho mmechukua mkopo ndio ifikie stand babu kubwa ya moshi? maajabu
yaan bukona ije kufikia moshi labda miaka 50 baadae
NAONA UNAWEKA MPIRA KWAPANI POLE UKWELI HAUFICHIKI HATA N SAWA NA KUFUNIKA MOTO KWA KUTUMIA NGUO
 
Hebu nikuoneshe stendi inayojengwa ramani yake utaamini hii stendi inajengwa kwa own source ya ndani ya mji sio mkopo kama yenu ujenzi unaendelea
 
Naona Moshi huijui vzr...Naona Moshi wangewapa hadhi ya JIJI tuu
 
Kumbe jawabu ulikuwa nalo?
 
Weka picha, sio unabwabwaja kama mfereji wa maji taka weka ushaidi. Hakuna hats mmoja aliyeweza kupiga picha ya kuonyesha sehemu ya Maana. Maneno mengi kama wanawake wa kizaramo
 
Weka picha, sio unabwabwaja kama mfereji wa maji taka weka ushaidi. Hakuna hats mmoja aliyeweza kupiga picha ya kuonyesha sehemu ya Maana. Maneno mengi kama wanawake wa kizaramo
mkuu huku tulishawamaliza wamekimbia na kwenda kuanzisha nyuzi nyingine huko et bk inazidiwa na biharamulo!!!!
 
Ngoja niwape vyombo hii ni walkguard hotel bukoba ipo mlimani km 3 toka mjini
 
Hii transit hotel IPO miembeni mjini kati bukoba
 
Kwa wanaopenda beach kabuwara beach na Miami beach zinakuhusu bukoba moja
 
Wengi wanaitharau bk kwa sababu ushabiki na chuki tu ila bukoba inaizidi songa mbele hii ni bikaijampola hotel imefunguliwa juzijuzi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…