Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Sababu yenu huwa ile ile stendi tu hata yenyewe inajengwa nyingine kyakairabwa km 7 kutoka mjini tazama ujenzi wake ulipokuwa umefikia wiki iyopita leteni picha udaku wa nini tunataka picha maneno ni rahisi kuyasema
 
Usitumie matusi bro huo ni ushamba leta picha za hayo unayoyasema usiwe kama MTU asiye binadamu habu nikuulize ulishawahi kuexprience tetemeko au unafikiri ni kitu kidogo matusi kama hayo ni dalili ya laana mbaya kwako.usitolee tetemeko kama mfano lingemuchukua mama yako ndo ungejua uyasemalo usibadirishe mantiki ya Uzi huu wenye lengo kubwa la kutangaza miji hii sio matusi leta picha za moshi nami ntaleta za bkb hapo ndo tutajudge sio matusi jamii forum sio kijiwe cha matusi
 
Leta picha za makampuni hayo na mji sio maneno kama hizi bro.hii ni bk bro
 
na hiyo nini au sio GDP tazama kagera ya ngapi ulinganishe na KLM pamoja ya kuwa na mlima.tena bk inajijengea stendi yake kwa kutumia own source sio misaada iliyotumika kujenga stendi yenu iliyojengwa hovyo subiri ya kyakairabwa imalizwe mwaka ni mtaona watu wa bk wasivyopapuka kuparamia miradi
 
Mji wa hovyo kivipi hizo picha huzioni au huamini
 
naona huelewi
hapa c tunajadili moshi vs bukoba?
hapo kwenye gazeti n Kilimanjaro vs kagera
leta ya mosh vs bukb
 
stand ya moshi n miongon mwa stand za kisasa KBS tz
magari karibi ya mikoa yote tz hutus ktk mji wa wajanja na mji msafi kuliko yote tz moshi
 
Leta picha za makampuni hayo na mji sio maneno kama hizi bro.hii ni bk bro
hivyo vi gofu kufananisha na ile mijengo ya moshi utachekwa
yaan vi gofu vya miaka ya 70 ufananishe na like migorofa pale moshi?
nssf ya moshi ndio jengo kubwa kuliko yote tz cjui kama una hbr kikwete alilifungua 2014
 
hivyo vi gofu kufananisha na ile mijengo ya moshi utachekwa
yaan vi gofu vya miaka ya 70 ufananishe na like migorofa pale moshi?
nssf ya moshi ndio jengo kubwa kuliko yote tz cjui kama una hbr kikwete alilifungua 2014
Kwa nssf moshi kuwa jengo kubw tz hapana huo uongo what about nssf hotel mwanza 16floors n still sio refu tz
 
hivyo vi gofu kufananisha na ile mijengo ya moshi utachekwa
yaan vi gofu vya miaka ya 70 ufananishe na like migorofa pale moshi?
nssf ya moshi ndio jengo kubwa kuliko yote tz cjui kama una hbr kikwete alilifungua 2014
Mji nzima wa moshi kuna jengo moja tu la maana mengine tazama bk ndo kuna jengo la airport zuri zaidi bongo,uwanja wa mpira mzr na bora wa tatu tz, na bukoba kuna nssf pia rwabizi plaza coffee jengo la ccm bado ujenzi unaendeleq mahakama kuu kolping leta moshi sio porojo
 
hivyo vi gofu kufananisha na ile mijengo ya moshi utachekwa
yaan vi gofu vya miaka ya 70 ufananishe na like migorofa pale moshi?
nssf ya moshi ndio jengo kubwa kuliko yote tz cjui kama una hbr kikwete alilifungua 2014
Huyu jamaa muumpuuuze, ana akili ndogo na bado ajatembea na anakaa kwa shemeji yake. Sasa kubishana na mtu kama huyu no kupoteza muda. Watu wameweka picha za kagera yeye kashindwa kuweka picha za Kilimanjaro
 
stand ya moshi n miongon mwa stand za kisasa KBS tz
magari karibi ya mikoa yote tz hutus ktk mji wa wajanja na mji msafi kuliko yote tz moshi
Stendi inayojengwa kyakairabwa bukoba mbona itaigalagaza hata Kilimanjaro airport subiri ikamilike mwezi mei
 
Stendi inayojengwa kyakairabwa bukoba mbona itaigalagaza hata Kilimanjaro airport subiri ikamilike mwezi mei
yaan sisi wenye stand kubwa na ya kisasa tumekaa kmya we stand yako hata haijakamilika unajikosha sasa c unaonekana mshamba?
stand ya moshi tayari n ya kisasa na n kubw sana maana magari karibu ya mikoa yote tz yanafika moshi
2_nyie wenyeji wa bkba mnajenga stand lakin Hanna magari hususan mabasi yaan mabasi yanayoenda bukoba n ya wagen sasa nyie hamjui kuchangamkia fursa
mabasi yaendayo moshi/arusha 99% n ya wenyeji
na tena mabasi yanayokuja bkba mengi ya watu wa moshi mfano Osaka,prince muro,kidia one
 
Huyu jamaa muumpuuuze, ana akili ndogo na bado ajatembea na anakaa kwa shemeji yake. Sasa kubishana na mtu kama huyu no kupoteza muda. Watu wameweka picha za kagera yeye kashindwa kuweka picha za Kilimanjaro
1_kutokuweka picha hakubadilishi ukweli
2_n kichaa pekee anaweza fananisha mji msafi kuliko yote tz na uliopangiliwa vyema moshi na huko uchochoroni bukoba ambako n vumbi Tupu hadi stand kuu n vumbi
3_mji wa bukoba hauna daladala
4_hizo picha za vigofu mnavyopost nawacheka tu moshi mihotel ya nyota tano telee gorofa had I 15 nawachora tu maana najua nyie n watu wa sifa ukiwa na milion unaesza sema una bilion
5_mji wa moshi una sifa zote za kuwa jiji isipokua kigezo cha ukubwa tu,bukoba imefeli vigezo karibu kumi vya kuwa jiji
 
utakua ni mpumbavu wa mwisho kuona hiyo GDP ya Knjaro na BK zinaendana
 
Aliyekwambia bk hakuna daladala nani tena za moshi SAA zima unasubiri zijae sio kama bk dk mbili mshaondoka.stendi nilishakwambia inajengwa mpya.halafu mbona unatumia lugha chafu hivyo hii inaonyesha kutokukomaa kwako hebu niache mabishano na wewe maana hujakua bado na kustaarabika bado mtoto kumbe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…