Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Ila ndugu zangu wachaga punguzeni kuwageuza watoto matahira kisa utajiri nyumba nyingi za wachaga hukosi taahira kuweni na huruma hapa mjini nawaona wengi ukienda uko uchagani vijijini khali mbaya badilikeni hilo linatia sana doa mkoa wenu
 
Na huo mlima hilo ziwa linaingia mara 500. Katika mapato ya nchi!!
Mlima unakunufaishaje we kama wewe.si si ziwa haliingizi mapato hiyo yote kisa serikali kutolitumia ipasavyo ila sie linatunufaisha kimaisha hasa bandari, uvuvi na beach za kuvinjari sijui moshi mnaendaga wapi kwenye mtoko kama sio kwenye madimbwi.sijui utapanda mlima kila siku sijui cheki palivyokuwa beach bukoba Leo hiyo ni kiroyera beach bukoba raha ww
 
Hivi wahaya kwanini mnasifa za kijinga hivo? mimi siyo mchaga lakini siku nyingine usifananishe ugali na biriani
 
Basi tufanye Bukoba imeshinda, hii inaweza kuondoa undugu wetu??

Ni ujinga kumlinganisha Messi Vs Ronaldo afu mwamuzi akawa mjomba wa kati yao.

Ningependa ligi moja... (ntaitangaza kesho)
 
Moshi na mwanza wapi na wapi mwanza ni jiji la zamani acha dharau kwa kanda ya ziwa mwenzangu kanda hiyo INA watu wengi kuliko kanda yoyote ile.mikoa mingi.manispaa nyingi na miji mingi sana kasikazini ni miji kama moshi midogo kama nini kwanza moshi ni ndogo mno sekunde umemaliza mji
 
Unajua nilivyoona hii thread nilikuwa najua una nia njema ya kutaka kuujua ukweli. Kumbe tayari ulikuwa uko biased na kwenu. Hii ni dhambi ya ukabila inakutafuna.

Mwisho wa siku utajikuta wewe ndio umechangia zaidi kwenye uzi wako huu, na bila shaka utajikuta umeumbuka.

Uzi huu ukiisha nakushauri uanzishe mwingine: Kati ya ndizi za Bukoba na za Moshi, zipi ni tamu zaidi. Ukishapata jibu, urudi kwenye pombe ipi ni maarufu zaidi kati ya mbege na rubisi.... ukiona haijakutosha urudi kwenye Ni wanawake gani malaya zaidi kati ya wachagga na wahaya.... ukiona haijafaa urudi kwenye... (ntakujulisha)...

Ila mwisho wa siku wewe ni kama kengemaji.... unazijua tabia zake??
 
Mungu akulinde sana mwaka 2017 ahsante sana kwa maneno yako
 
Kuifananisha moshi na bukoba ni kuikosea heshima Moshi. Tayari majibu yamepatikana hapa bukoba ifananisheni na ujinga mwingine huko huko Kanda ya ziwa.
 
kwaiyo wewe ulizani kuwa starehe pekee ni kuogelea tuu bila shaka wewe ni Nshomire ila tuuu nikuulize kwa dada zetu wa bukoba hukoo yale maji hayatoshi mpaka muende ziwani???
 
 
Half tumeshawambia acheni kuiba picha ya mwanza Rock city ya kanda ya ziwa weka picha za kamji ka moshi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…