Kuna mijitu humu naamini kabisa kwa moyo wa dhati walikuwa wanapasikia moshi na hawajawahi kufika walikuwa wanataka waone hata kwa picha ndio maana wamekazania leta picha sasa tukiamua kuleta na zile za katikati ya migomba na kahawa sindo mtalia kabisa.
Kuna watu ni wapumbavu sana Kwanza kwa kigezo tu bukoba ni kati ya mikoa mitatu mafukara wa kutupwa haikitakiwa hata kuifikiria moshi mimi kagera naijua kuanzia ngara, biharamulo, kasindaga, Runazi, rulanda, ilemela, muleba, kagoma, katoke, kemondo, rugambwa University, bukoba, karagwe yaani kufananisha na Moshi ni matusi.