Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hivi nyie tukianza kuweka nyumba mojamoja hivi itakuwaje.pole sana moshi ebu subiria niwaonyeshe
 
Ficha ujinga wako wewe nyie ndio wale wanga mtu akijenga nyumba ya bati huko kwenu halali ndani eti moshi pachafu pasafi wapi.
Wajinga ni nyinyi mnakimbia shule kwenda kwenye biashara. Na biashara zenyewe ni kutegemea uchawi
 
Halafu hata hatutambi kuna picha zingine naziona hapo ni za vijini kabisa hapana chezea Moshi wewe ni namba nyingine na mbaaado

Kuna watu ni wapumbavu sana Kwanza kwa kigezo tu bukoba ni kati ya mikoa mitatu mafukara wa kutupwa haikitakiwa hata kuifikiria moshi mimi kagera naijua kuanzia ngara, biharamulo, kasindaga, Runazi, rulanda, ilemela, muleba, kagoma, katoke, kemondo, rugambwa University, bukoba, karagwe yaani kufananisha na Moshi ni matusi.
 
Ficha ujinga wako wewe nyie ndio wale wanga mtu akijenga nyumba ya bati huko kwenu halali ndani eti moshi pachafu pasafi wapi.
Kama usafi ni maendeleo basi apa Dar es salaam ingekuwa ya mwisho
 
Ukimuona mchagga anapigika huko kwenu kaa ukijua haya ndio matunda yake vijijini kwao


Mchagga cribs ajazianzia masaki osta hayo ni mambo aliyowaachia bibi na babu zake tena zilijengwa karne kibao long time
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…