Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Baba usihangaike kumshawish mtu bukoba huwez ifananisha na Moshi ikiwa ushafka hzo sehemu,moshi pako vizur mara nyingi zaid ya Bukoba km hutaki shauli yako endeleen kujifariji maana nyie kila kitu kujisismfia,ila kumbuka Moshi ni manispaa na bukoba bado halmaahaur ya Mji wapi na wapi,japo mm cyo wa moshi wala bukoba lkn bukoba big Noo kwa Moshi
 
MOSHI MOJA HIYO...
ILA BAADHI YA WATU WENGI WA MOSHI HAWANA TABIA YA KUPIGA PICHA MAKWAO SABABU YA KUONA KAMA NI KITU CHA KAWAIDA..
ILA KWA KWELI MIJINI SI KUZURI KAMA VIJIJINI...KUMEJENGWA KUKAJENGEKA HASA...

KWA UTUNZAJI WA BUSTANI ZA MAUA NDIO WENYEWE
KWA USAFI NDIO WENYEWE...
HATA KAMA NYUMBA NI YA UDONGO ILA UTAKUTA MAUA YALIYOPANDWA HADI YANAPENDEZESHA NYUMBA NA UA ULIVYOFAGILIWA UTAPENDA...
 

Attachments

  • 03 kibosho.jpg
    16.5 KB · Views: 131
  • 1456920069131.jpg
    47.8 KB · Views: 126
  • 1456920046140.jpg
    45.6 KB · Views: 128
  • 1456919998753.jpg
    55.8 KB · Views: 140
  • KIBOSHO.JPG
    16.9 KB · Views: 144
  • HAPA NI MARANGU KILEMA BAADHI YA NYUMBA.jpg
    15.1 KB · Views: 158
  • nyumbani kwa mdau wa JF HUMU.jpg
    43.5 KB · Views: 148
  • NYUMBANI KWA MDAU WA JF HUMU 1.jpg
    110.9 KB · Views: 134
Tuligeeee
 
Inyweeee
 
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Bukoba na Moshi, pote ni migombani.....
 
Yaani unafananisha halmashauri ya mji na manispaa, wapi a wapi ndugu, hivi walioipa moshi hadhi ya manispaa unafikiri ni wajinga.
 
Inabidi uwe umefika Moshi na Bukoba ndio uweze kuchangia.

Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
 
Uzi umeharibika tayari ..
Kuna baadhi ya picha ni za iringa, arusha na mwanza
 
Jamani ebu msikinganishe moshi na bukoba ata kidogo.Moshi ni level nyingine papo juu sana.Kabla ujajilinganisha na moshi ebu angalia kama umeweza kuifikia morogoro,Dodoma,iringa,kahama etc kwanza.
Ina maana moshi inaizidi Dom Moro na iringa kama sikosei kahama wanawazidi
 
KUNA BAADHI YA PICHA HAPO SI ZA MOSHI...HAKUNA MILIMA HIYO....MIMI NI WAMOSHI NA HIVYO VIJUMBA VISIVYO ELEWEKA SIO KABISAAA..
Alituma picha za iringa sijui hakusoma uzi unahusu nini ...alikurupuka tu
 
Bukoba tena bk hamuiwezi


NATAMANI KM KUNGEKUWA NA MTU YUPO MOSHI ATUPIE PICHA...ILA KWA SABABU WA MOSHI HAWANA UTAMADUNI WA KUJIGAMBA NDIO MAANA WENGI HAWANA PICHA....Huwa mandhari ya kao wanayaona yakawaida sanaaa...
Kwa kulinganisha zaidi ni bora wana JF wangetemelea kabisa maeneo husika...(Utalii wa ndani)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…