Wachaga na kilimanjaro kwa ujumla ilikuwa vizuri sana kipindi cha Mwalimu. Lakini hakuna maendeleo yoyote tokea kipindi icho, wamebaki kupoteza muda mwingi katika kufanya michongo ya kuingia katika kazi za serikalini tofauti na kipindi kile walivyokuwa na biashara. Sasa ivi wachaga si chochote katika biashara, na iyo yoyote kutokana na Utapeli na wizi walio nao. Sasa ivi wahaya ukienda uko Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Dubai na China wanafunga mizigo kuleta apa bongo. Wachaga wanakimbia kilimanjaro pale njaa tupu