Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Kwahiyo hizo picha sio halisi? Hilo ni kanisa la kibosho yaan kibosho parish
Kuna vitu vingine Ni elementary havihitaji ubishi kama umebanwa mbavu unaomba poo sii kujidhalilisha hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegundua unaijua Moshi tu! Jitahidi uijue na Bukoba! Kuijua Bukoba sio kufika mjini na kupita. Hizi pumba unazoandika hapa ni aibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
We ndio hujui kitu nimetembea kagera,misenyi,bk vijiin , muleba karibu yote Hadi vusiwan kule bumbile,ikuza na rwazi
Huniambii chochote mkoa wenu Ni mapori pori tu check hapa kemondo hahaha
Kumechakaa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafahamu kutoka bukoba Tu kwenda ngara kuna mabasi na ni ndani tu ya mkoa .hata miji ya karibu kahama na mwanza mabasi unayafahamu? Na je Meli za bukoba mwanza ni ngap?

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Wachagga mnachekesha kweli, yaani wenyewe biashara wanayoota ni mabasi. Mtu kama hana mabasi eti hana pesa, hahahahaha acha kukariri
Hapo sio barabara kuu
Ni barabara ya ndan ya wilaya alafu unaona hilo basi? Nyie maskin wa kihaya mna uwezo wa kumiliki hiyo?
Manake kampuni za mabasi tz 55% zinamilikiwa n'a watu wa kililmanjaro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…