Bukoba tour report

Bukoba tour report

Dah kwa huyu shemeji yangu mi sina tatizo kabisa..namuamini sana ila angekuwa Kabakabana lol
Nisingemruhusu hata kidogo kwa kuwa namjua sana alivyo
mbona mie naona kama wote sawa tu.... kwani wana tofauti gani ... waweza nipa tofauti ya kabakabana na mkwe wa kina nshomile?
 
Hehehe! Tembo hulitia maji...lol.


Hebu acha wivu bana nisifie na wewe..

hongera kwa kusifiwa na nakusifu kwa kuniomba nikusifie angalau kwa leo mbele ya Nitonye
 
Huyu ni mtafuna karanga kahawa haziwezi kule tunaziita ''akamwani''
aha ha ha ahh karanga natafuna sana ila kahawa natumia sana!! ndio maana sikumbuki kama walinipa ama nilinunua mwenyewe... hata ninapoandika post hii niko na kikombe cha kahawa
 
Back
Top Bottom