nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Hahaha! Wahaya wana EGO usisikie... Umeleta zawadi gani?
Dear i mis u
Hahaha! Wahaya wana EGO usisikie... Umeleta zawadi gani?
Dear i mis u
Yan na nyinyi mnaongozana aiseee lolHow are you?
How are you?
Ntakuja kuchukua maharage yangu uyaweke lol..zawadi?? nilinunua tu yale maharage meupe.... ni mazuri nimeyapenda..... nilionyeshwa kuna matunda ya wahaya wanyaita kitomasi.... sikuyaonja hayo lakini
Dah naona hujafika kijijini kwetu maana ungepata bahati ya kuziona gari za aina cardilac, kama hujapewa ile pombe inayoitwa ''embandule'' basi hujafaidi
Yan na nyinyi mnaongozana aiseee lol
Kila aliko Nitty utashnagaa na SlL huyoooo
unakaba hadi penalt aiseee
Naja nipo njiani....I'm good baby, njoo ulale kifuani upumzike
Sasa mtajuaje kama twapendana??? Kukaba muhimu yakhe...Yan na nyinyi mnaongozana aiseee lol
Kila aliko Nitty utashnagaa na SlL huyoooo
unakaba hadi penalt aiseee
Duh naona hayaelezeki kweli....Mapenzi yetu hayaelezeki yaani tumeshibana
Nini tena SS?Dah mshaanza!! BIshangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Dah kwa huyu shemeji yangu mi sina tatizo kabisa..namuamini sana ila angekuwa Kabakabana lolila itabidi B52, Nitonye na Bisghanga wakuruhusu uje sawa?
Utasubiri sana tuachane...Duh naona hayaelezeki kweli....
Si yetu macho kwa kuwa hata Uporoto alisema hivyo kwa Husny ila yako wapi sasa
ila itabidi B52, Nitonye na Bisghanga wakuruhusu uje sawa?