Geofrey tibert
Member
- Oct 13, 2016
- 68
- 62
kweli jamaa yangu umetisha maana umechanganya mambo mengi kukwepa uongo uliotuleta.maneno mengi natamani nikujue maanawewe kwenye mazuri yeyote yanayoongelewa ya wahaya lazima hupo na jedwali lako hilo siku zote mpaka tumeshazoea.Hii Ni baadhi ya mijengo huko machame nshara 80% Ni mtindo huu ndio maana ripoti zikasema kilimanjaro makazi Bora Ni 86% na Ni mkoa wa pili tz kwa wananchi wake kuwa na gdp kubwa,makaz bora na miundombn toshelezi baada ya dar I think umeelewaView attachment 1039023View attachment 1039024View attachment 1039025
Sent using Jamii Forums mobile app