Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kamati tendaji ya CHADEMA(w) manispaa ya Bukoba, imemvua uanachama na nyadhifa zake zote ndg Muhaji Kachwamba aliyekuwa diwani wa kata Hamgembe.
Hii ni baada ya kujiridhisha pasipo mashaka kwamba amepokea na amenaswa na mtego wenye chambo cha kuunga mkono.
Hii ni baada ya kujiridhisha pasipo mashaka kwamba amepokea na amenaswa na mtego wenye chambo cha kuunga mkono.