Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Mataga tuliwaambia kitambo hizi sheria za kipuuzi zitawatafuna wenyewe na leo mnajionea wenyewe.
hakuna muda wa kumjibu mtu ambaye anawakilisha chama ambacho hakipo.Wakati mwingine kusoma kwingi ni matatizo. Si angejibu tu hoja zilizoainishwa kwenye pingamizi?
Amandla...
Huyu kijana badala ya kuthibitisha kuwa kijiji cha Itanana kipo na kuwa alisaini tamko mbele ya Hakimu ( kama hilo ni hutaji la kweli) anapoteza muda kuelezea ndoto zake za alinacha za kujenga bandari ya nchi kavu na uwanja wa ndege Sikonge!Anaandika kijana makini LUMOLA STEVEN (Mgombea ubunge bukene kupitia CHADEMA)
ZEDI SELEMANI JUMANNE
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi aliniwekea pingamizi lakini hakuwa makini kavunja kifungu Cha 40(3) Cha Sheria ya Taifa Uchaguzi, Sura ya 343. Kwenye pingamizi ameandika yeye ni Mgombea wa Chama Cha Mapindundi kama inavyosomeka kwenye Barua hapo chini. Hakuna Chama kinaitwa Chama Cha Mapindundi.
hakuna muda wa kumjibu mtu ambaye anawakilisha chama ambacho hakipo.
wewe mtu akishika mpini unaweza kumpa hata mkeo.Unaleta kiburi wakati umeshika makali?
Amandla...
wewe mtu akishika mpini unaweza kumpa hata mkeo.
AHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAIna maana Mkurugenzi ajuwi Chama Cha Mapindundi ndio CCM mpya inayoongozwa na kiongozi wa malaika wa malaika ebow
Huyo lumola ni noma, ukija DIT lazima upewe taarifa zake. Kijana makini na anajiamini kwelikweli
Nauona mbali kwenye medani za kisiasa🙏🏾
Yuko vizuri sana, huwezi amini sijawahi kumuona ila habari zake tu zimejenga picha yake akilini, Ni jembe kwelikweli..huyu dogo nilimuona akihojiwa nikawa impressed.
..namuombea afanikiwe na afike mbali ktk harakati zake za kisiasa.
Yuko vizuri sana, huwezi amini sijawahi kumuona ila habari zake tu zimejenga picha yake akilini, Ni jembe kwelikweli
Huu ni mtego haramu ambao wapinzani wameuhalalisha. Na ndio unaotumika kuwakata kwenye uteuzi. Tume na mgombea wa ccm hawajakosea kuandika chama cha mapindundi, hilo ni lengo maalum ili wapinzani mkubali kukatwa hata kwa makosa ya kiuandishi bila kujali kwamba ni kwa bahati mbaya ama hamjui kujaza fomu. Tusishangirie kuwa hoja imejibiwa kisomi wakati bado kuna hoja ya kijiji kilichotajwa, ambacho kwa mujibu wa pingamizi kijiji hicho hakipo. Kama kijiji hicho kiliandikwa kimakosa ya uandishi basi hata mapindundi itakuwa kosa la kiuandishi na hoja itabaki hewani. Na mwisho wa siku mpinzani atakatwa nakubaki mgombea wa chama cha mapindundi bila kupingwa.Anaandika kijana makini LUMOLA STEVEN (Mgombea ubunge bukene kupitia CHADEMA)
ZEDI SELEMANI JUMANNE
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi aliniwekea pingamizi lakini hakuwa makini kavunja kifungu Cha 40(3) Cha Sheria ya Taifa Uchaguzi, Sura ya 343. Kwenye pingamizi ameandika yeye ni Mgombea wa Chama Cha Mapindundi kama inavyosomeka kwenye Barua hapo chini. Hakuna Chama kinaitwa Chama Cha Mapindundi.