MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 812
- 585
Anaandika kijana makini LUMOLA STEVEN (Mgombea ubunge bukene kupitia CHADEMA)
ZEDI SELEMANI JUMANNE
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi aliniwekea pingamizi lakini hakuwa makini kavunja kifungu Cha 40(3) Cha Sheria ya Taifa Uchaguzi, Sura ya 343. Kwenye pingamizi ameandika yeye ni Mgombea wa Chama Cha Mapindundi kama inavyosomeka kwenye Barua hapo chini. Hakuna Chama kinaitwa Chama Cha Mapindundi.
ZEDI SELEMANI JUMANNE
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi aliniwekea pingamizi lakini hakuwa makini kavunja kifungu Cha 40(3) Cha Sheria ya Taifa Uchaguzi, Sura ya 343. Kwenye pingamizi ameandika yeye ni Mgombea wa Chama Cha Mapindundi kama inavyosomeka kwenye Barua hapo chini. Hakuna Chama kinaitwa Chama Cha Mapindundi.