Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,837
Kwenye mapenzi nimejifunza, USIWEKEZE moyo wako kwa mpenzi wako, mapenzi yaweza kufa sekunde yoyote, Wekeza KUCHA Na nywele, maana hata vikikatika vitaota tena.
Moyo unauma. Moyo uko sensitive
Moyo wangu ni Mali ya Mungu,.
Maandiko Matakatifu yanasema. Mpende Mungu wako kwa moyo wako wote. Maana ni Mungu peke yake hawezi kujifunza moyo wako.
Ukipractice hii utajifunza kupenda kwa akili, ambako ni kupenda kwa tahadhari
Moyo unauma. Moyo uko sensitive
Moyo wangu ni Mali ya Mungu,.
Maandiko Matakatifu yanasema. Mpende Mungu wako kwa moyo wako wote. Maana ni Mungu peke yake hawezi kujifunza moyo wako.
Ukipractice hii utajifunza kupenda kwa akili, ambako ni kupenda kwa tahadhari