gfsonwin:Dada angu sasa hapa mimi nashindwa kukuelewa inamaana unafurahia Bujibuji kuwa hivi ama,hebu nieleweshe mkuu wangu!!!!!!!!1
we humuoni kanivalia na gauni la mapande sita kabisa?gfsonwin:Dada angu sasa hapa mimi nashindwa kukuelewa inamaana unafurahia Bujibuji kuwa hivi ama,hebu nieleweshe mkuu wangu!!!!!!!!1
Kamera zetu zimemnasa akiwa amelala maeneo ya Tabata Relini
Kuna mzigo kwa nyuma .....sijui ni wa kwake au aliukuta afu dushelele nayo haieleweki
tuma kwa redio kooo bwana
kumbe...duh!!
hahaha hilo ni wigi...
Hawezi kufa kwa sababu reli haitumiki,we angalia ilivyo na kutu!!Nahisi atakuwa anadaiwa kodi ya pango. Maskini marehemu in advance!
Nisinge lla hapo wana JF wangejuaje kuwa na mimi nina suti ya People's Power na kofia (kapelo) ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?
Hahah...basi hilo na liwe la kwanza wewe kuliona, yanauzwa special order
Bujibuji nakuonea huruma maana hawa watu wamikopo wanazidi hata jamaa wa bomoabomoa kwa sababu dah wanakuja na baunsa nene!!lazima kochi wanyanyue ila gfsonwin simshikaji wako kwanini usimpechumba kimoja kwenye ile guest yako uliyoukodi chumba cha mwaka??akaka angalau miezi 3! akili itakuwa imerudi mahali pake! Wewe unadhani Erickb52 atakugombeza??Mwenzio ananyumba pale sinza iko sipeisho kwa kazi maalumu na kodi analipa ohoo sorry nimeishatoboa siri nisamehe ila usimuulize!