Building:Wataalam Sogeeni pande hizi

Building:Wataalam Sogeeni pande hizi

Asiejulikana

Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
33
Reaction score
10
Niaje wazee Hope mko poa!!

Kwa nyakati hizi za likizo nimeona bora nifufue Machine yangu hii niwe napiga games kusogeza muda kidogo.

Machine hii kama inavyoonekana uwezo wake sio powerful kihivyo kusukuma Game nzito na latest so nimeamua kufanya building kidogo kuiboost.

Binafsi nimepanga kuongeza Ram kwenda 8gb na pia kununua dedicated Card ya Nvidia GTX 670Ti/670 (2GB).

Kwa vile sio mtaalamu sana na haya madude naomba msaada wenu hapo kabla sijafanya chochote, Naomba mnipe mwongozo na mawazo yenu kipi cha kuongeza hapo ili nipige hizi latest games haswa Football (FIFA).

CC Chief Mkwawa , Trouble Maker na Wataalam wengineo
Screenshot_20190508-154045.jpeg
Screenshot_20190508-154216.jpeg
 
processor yako ni ndogo

uki run Window Experience Index assessment, inabidi namba (rating indices) ziwiane, zisiachane, cheki hii hapa


1091877


huweziweka RAM(video card) kubwa akati processor ni ndogo, izo indices zitaachana mno

huwezi weka ram ya 8gb ukawa na HDD (kwa ajili ya gaming, au 3D rendering), HDD za kawaida inaleta index ya around 5.6 ivi, wakati SSD inanyanyua ngoma mpaka 7 na kitu (cheki juu hapo)

ratings ziki 'match' , na lowest score ikawa walau 6.5, basi utacheza GTA V au FIFA 19 kwa settings zinazokaribia na 'Ultra'
 
processor yako ni ndogo

uki run Window Experience Index assessment, inabidi namba (rating indices) ziwiane, zisiachane, cheki hii hapa


View attachment 1091877

huweziweka RAM(video card) kubwa akati processor ni ndogo, izo indices zitaachana mno

huwezi weka ram ya 8gb ukawa na HDD (kwa ajili ya gaming, au 3D rendering), HDD za kawaida inaleta index ya around 5.6 ivi, wakati SSD inanyanyua ngoma mpaka 7 na kitu (cheki juu hapo)

ratings ziki 'match' , na lowest score ikawa walau 6.5, basi utacheza GTA V au FIFA 19 kwa settings zinazokaribia na 'Ultra'
Kumbe hii ni ndogo !! Nilijua ina ubavu kidogo maana nimeona kuna sehemu wameweka specs za FIFA 19 nikajua zinaendana Hiyo core i3 2100 with 3.1GHz.. Kama nilivyo mark katika Picture..

Naomba nipe elimu kidogo kuhusu tofauti ya hizo requirements na pc yangu next time nisiweze kuyumba mkuu.
IMG_20190508_201731.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20190508_201731.jpeg
    IMG_20190508_201731.jpeg
    58.4 KB · Views: 28
processor yako ni ndogo

uki run Window Experience Index assessment, inabidi namba (rating indices) ziwiane, zisiachane, cheki hii hapa


View attachment 1091877

huweziweka RAM(video card) kubwa akati processor ni ndogo, izo indices zitaachana mno

huwezi weka ram ya 8gb ukawa na HDD (kwa ajili ya gaming, au 3D rendering), HDD za kawaida inaleta index ya around 5.6 ivi, wakati SSD inanyanyua ngoma mpaka 7 na kitu (cheki juu hapo)

ratings ziki 'match' , na lowest score ikawa walau 6.5, basi utacheza GTA V au FIFA 19 kwa settings zinazokaribia na 'Ultra'
Na hii nimejaribu ku compare hizi processor mbili ya FIFA na ambayo ninayo mimi
Screenshot_20190508-203006.jpeg
 
Mini Nafanya building kwa sasa nipo kwenye hatua za mwisho Bado natafuta Ram
GRAPHICS CARD: RX 470D 4GB GDDR5 256bit 150Watts
CPU: intel core i5 4400 3.10 GHz
Mobo: Asus H81M
IMG-20190504-WA0023.jpg
IMG-20190504-WA0019.jpg

20190505_141652.jpg
20190505_141527.jpg
 
Boss upo vizuri...na vp kuhusu Graphics card naweza kuweka yoyote au kuna vitu muhimu vya kuzingatia
zingatia sana power supply ulionayo na power consuption ya graphics card
pia angalia size ya case/chasis kama graphics card itaweza fu fit vizuri
vitu vingine angalia performance ya iyo card vitu kama
technology iliotumika kutengeneza iyo card, clock speed, memory etc
hii yangu ni 14nm sio mbaya sana still mpya na hapo nikifunga cooler ya maana na ram gb 16 nafanya Gaming ya kibabe
 
Kwa desktop za kibongo bongo amd rx 550 ni nzuri sana inakula watts 50 tu, Desktop nyingi mitaani na.madukani zinazouzwa zinakuwa na power supply ndogo.

Nyengine ni Nvidia 750 ti nayo kabla kutoka rx 550 ilikuwa ndio inatumika kwenye build kama hizo.

Ipo pia nvidia 1030 sema haina nguvu kama hizo hapo juu.
 
zingatia sana power supply ulionayo na power consuption ya graphics card
pia angalia size ya case/chasis kama graphics card itaweza fu fit vizuri
vitu vingine angalia performance ya iyo card vitu kama
technology iliotumika kutengeneza iyo card, clock speed, memory etc
hii yangu ni 14nm sio mbaya sana still mpya na hapo nikifunga cooler ya maana na ram gb 16 nafanya Gaming ya kibabe
So hapo niongezee cooler na power supply nitafute ya namna gani?
 
Kwa desktop za kibongo bongo amd rx 550 ni nzuri sana inakula watts 50 tu, Desktop nyingi mitaani na.madukani zinazouzwa zinakuwa na power supply ndogo.

Nyengine ni Nvidia 750 ti nayo kabla kutoka rx 550 ilikuwa ndio inatumika kwenye build kama hizo.

Ipo pia nvidia 1030 sema haina nguvu kama hizo hapo juu.
Chief vp kuhusu processor yangu umeipitisha!? Na nikifunga GPU ya Nvidia 2gb na kuongeza Cooler mambo yatakua sawa au!?
 
So hapo niongezee cooler na power supply nitafute ya namna gani?
Naona cpu ya yenyewe sio powerful sana hivyo tafuta iyo rx 550 au gtx 750ti ambazo hazili umeme mwingi na games kama fifa 19 zinacheza fresh tuu
mimi nilikua na gtx 750ti ilikua inapiga fifa 19 fresh tuu na pes 19 at 1080
 
Naona cpu ya yenyewe sio powerful sana hivyo tafuta iyo rx 550 au gtx 750ti ambazo hazili umeme mwingi na games kama fifa 19 zinacheza fresh tuu
mimi nilikua na gtx 750ti ilikua inapiga fifa 19 fresh tuu na pes 19 at 1080
Duuuh FIFA 19 nayo pia at 1080 kwa GTX 750ti..!? Hii imekaa poa
 
Chief vp kuhusu processor yangu umeipitisha!? Na nikifunga GPU ya Nvidia 2gb na kuongeza Cooler mambo yatakua sawa au!?
Mkuu kwa games za zamani itasukuma ila games za sasa na zinazokuja itakuwa ngumu sana mkuu. Maana wote intel na Amd wameongeza core sasa hivi i3 ni core 4, i5 core 6 na i7 inazidi hapo. Na developers pia wanaanza ku optimize games zitumie core nyingi.

Ila unaweza uka upgrade kwenda i7 2600 kwenye desktop hio hio utapata core 4 na thread 8. Kazi hii unaweza ukaifanya taratibu kunatokea deals kama hizi mitaani kwa bei chee tu. Angalia kupatana na site nyengine za kuuza online. Pia kuna baadhi ya motherboard za 2nd gen zinakubali cpu za 3rd gen hivyo hata i7 3770 inaweza ikawa option.

Na kwa hio desktop nunua tu gpu inayokula umeme mdogo sio lazima uwe na cooler.
 
Mkuu kwa games za zamani itasukuma ila games za sasa na zinazokuja itakuwa ngumu sana mkuu. Maana wote intel na Amd wameongeza core sasa hivi i3 ni core 4, i5 core 6 na i7 inazidi hapo. Na developers pia wanaanza ku optimize games zitumie core nyingi.

Ila unaweza uka upgrade kwenda i7 2600 kwenye desktop hio hio utapata core 4 na thread 8. Kazi hii unaweza ukaifanya taratibu kunatokea deals kama hizi mitaani kwa bei chee tu. Angalia kupatana na site nyengine za kuuza online. Pia kuna baadhi ya motherboard za 2nd gen zinakubali cpu za 3rd gen hivyo hata i7 3770 inaweza ikawa option.

Na kwa hio desktop nunua tu gpu inayokula umeme mdogo sio lazima uwe na cooler.
Nitajitahidi nifanye hivi Chief, shukran sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom