Nduka Original
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 790
- 500
Kaka umekaa kwa wapi mi niko huku mbele pembeni ya Prince Charles!!!!!!
Kaka umekaa kwa wapi mi niko huku mbele pembeni ya Prince Charles!!!!!!
Ha ha ha ha ha!
Ni ile milioni moja yake aliyoshinda kwenye Pepsi ndiyo ameenda nayo?!
Bujibuji anavituko sana.
Ah ah ah ah mkuu Nduka Original Bishanga.mko naye?
Kwani hiyo heading ulikuwa waiandika huku ukitetemeka?
Bui buji... sina uhakika kama ni typing error au alikuwa anamaamisha Bujibuji, maana nasikia Bujibuji ndio aliyechinja ng'ombe wa mila aliyezikwa na Madibamkuu edit heding yako isomeke Bujibuji sio hii yako kuna watu wako makini kusahisha makosa humu nadhani taaluma zao ni ualimu,
Wee kamama una matatizo sana.Kwani aliambiwa kuna mazindiko huko bondeni.?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us