Eneo la viwandani Buguruni Madenge kuna wezi na wakabaji, wamejenga vibanda katika eneo hilo na kusababisha hofu kwa wapita njia waendao kazini hasa kwenye viwanda.
Wanaishi na wanalala hapo asubuhi asubuhi na mchana tu, na usiku wanakwenda kuvunja na kuiba vitu mbalimbali hasa vya magari kufungua betri kwenye magari yaliyoegeshwa njiani kwa sababu mbalimbali.
Kuvunja magodown, kuchimba na kuharibu miundombinu ya chini ya Tanesco iliyoko eneo la Tazara kuelekea vingunguti, baadhi nitawataja kwa majina.
Ngosha mkubwa na mdogo, Muha kidari, Rama kikono, Mluguru, Hussein, Chuga skanka, Kidevu, Ijumaa iliyopita walikamatwa na askari Polisi katika eneo hilo.
Vibanda wanavyolala vikachomwa moto, wakapelekwa kituoni wakatoa kila mtu laki moja moja wakaachiwa siku ya tatu, siku hiyo hiyo wamerudi tena eneo hilo na wameanza kujenga tena
Tunaomba Polisi warudi tena kuwaondoa hapa wamekuwa kero kwa wapita njia na walinzi wa magodown.
Wanaishi na wanalala hapo asubuhi asubuhi na mchana tu, na usiku wanakwenda kuvunja na kuiba vitu mbalimbali hasa vya magari kufungua betri kwenye magari yaliyoegeshwa njiani kwa sababu mbalimbali.
Kuvunja magodown, kuchimba na kuharibu miundombinu ya chini ya Tanesco iliyoko eneo la Tazara kuelekea vingunguti, baadhi nitawataja kwa majina.
Ngosha mkubwa na mdogo, Muha kidari, Rama kikono, Mluguru, Hussein, Chuga skanka, Kidevu, Ijumaa iliyopita walikamatwa na askari Polisi katika eneo hilo.
Vibanda wanavyolala vikachomwa moto, wakapelekwa kituoni wakatoa kila mtu laki moja moja wakaachiwa siku ya tatu, siku hiyo hiyo wamerudi tena eneo hilo na wameanza kujenga tena
Tunaomba Polisi warudi tena kuwaondoa hapa wamekuwa kero kwa wapita njia na walinzi wa magodown.