Bugatti Chiron 1500 HP, Max speed 500 km/h!

Kuna watu hawajui kitu bora unyamaze tu uwaangalie, kama kina Rockafeller and Rothschild wana utajiri wa zaidi ya $500billion then mtu anakubishia, nimekumbukaile habari ya aliyekuwa mmiliki wa Man City(aliyekuwa waziri mkuu mkuu wa Thailand) aliposamehe mali za 1.2 trilion.
 
Hakuna gari ndogo yenye kipimo horse power,jaribu ku google horse power moja sawasawa na cc ngapi ndio utajua,kipimo cha horse power kipo kwenye gari kubwa tu,na hiyo hp 1500 hata kwenye lory hakuna labda train.
Conversion ya vipimo ipo na unaweza kubadili kutka watt kilowatt, horse power cc nk
Mfano hosrepower1 ni sawa na watt 746 ambayo ni sawa na 0.746 kw
 
Juz nimepita high way dar-mza kwakwel ile sio barabara ni lami bt mashimo kabisa utadhani road ya vumbi imebonyebonyea hatar sasa sijui ni viwango gani Tanroad wazembe sana
Siku nyingine kama huna haraka na una mafuta yasiyo ya mawazo kunjia zako Chalinze upite Korogwe-Moshi-Arusha-Singida-RockCity
 
Ujerumani hawana limit ya speed kwenye highway zao.
 
Ujerumani hawana limit ya speed kwenye highway zao.
Ni kweli.Nilishabahatika kusafiri kwa barabara kutoka Polland(Warsaw) kuja Ujeruman (Berlin) na rafiki yangu Upande wa Ujerumani jamaa alikuwa anaachia mkoko hatari sikufuatilia hii issue ya Speed limit.Wenzetu highways zao ni nzuri hazina mambo ya head to head collition kama huku kwetu bongo
 

Hii post imenifanya nicheke kwa sauti alafu bahati mbaya ni lecture room.watu wamenigeukia wote......kwa jinsi nilivyocheka vibaya na wao wamecheka mpk lectirer

ALAANIWE ALIYETAKA KUIFUNGA JF
 

Hii post imenifanya nicheke kwa sauti alafu bahati mbaya ni lecture room.watu wamenigeukia wote......kwa jinsi nilivyocheka vibaya na wao wamecheka mpk lectirer

ALAANIWE ALIYETAKA KUIFUNGA JF
 
Mi ngoja nibaki na haka kagari kangu. kutoka Dar mpaka shambani kwangu kibaha natumia masaa nane, na naona poa tu.


 
Wapo watu wengi tu ambao utajiri wao haupo forbes mfano vladmir putin pesa ake ni zaid ya 200bill € lakin hayupo kiukweli wanasiasa wengi sana wame hide utajiri wao...nakumbuka last year kuna mama wa naijeria alikuwa anafanya kazi hazina kipindi cha rais gudluck alikutwa ana zaid ya 90bill $ sasa jiulize mwaka huo bill gates aliongoza kwa 74bill $
 
dar to mwanza breakfast
mwanza to kigoma ugali lunch
kigoma to mbeya dinner
mbeya to dar unakuja kulala
 
Hii post imenifanya nicheke kwa sauti alafu bahati mbaya ni lecture room.watu wamenigeukia wote......kwa jinsi nilivyocheka vibaya na wao wamecheka mpk lectirer

ALAANIWE ALIYETAKA KUIFUNGA JF
😀 😀 😀
 
Thank you very much
Forbes wanafanya biashara tu wapo matajiri wengi wakubwa wametulia tu
 
Gari kufika speed 400km/h ,hakuna ya sababu ya Barbara kuwa ndefu, ni suala la technolojia tùu,tunaona Gari za F1unakuta umbali wa mita 200 au 300 kitu kinakanyagwa unashangaa speed mita inasoma 360 ,Lewis anakugongea mpaka 410 na umbali mdogo tuu,hivyo Bugatti kugonga 500km/h si ajabu
,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…