Bajeti yake iko ndani ya ofisi ya Rais kwahiyo imeshasomwa. Asiye na wizara maalum rais anampangia lolote analoona linafaa
Mawaziri na manaibu wao wamekua wakisoma budget za wizara zao bungeni,naomb tu kujua hvi na mark mwandosya pia atasoma budget yake ama inakuaje kwnye wizara yake.