Budget ya 1M laptop gani nzuri for gaming?.

mkuu labda used, kwa mpya uhakika ni dola 750.
Laptop zenye sifa hizi zinapatikana wapi na bei gani hapa TZ?
e933cbae548e0dfdbe92bc0bce304417.jpg
 
Dah mi nilikuwa nataka nipate hata inayocheza mid quality tu.kama gta 5 720p, 40fps
 
20170428_200238.jpg
Hawa jamaa wapo vizuri kwa pc, wacheki...pc yangu ni Hp core i5 7200u. intel graphix 620 4gbpamoja na nvidia 930mx 2gb..graphics rendering ni 6gb ..ram 8gb..cost ilikuwa 950,000 tshs nilivyoinunulia huku mkoani mbeya kwenye duka la kompyuta, Sijaweka game ila youtube nlioma ipo fresh kwenye gta 5..N.B msifanye makosa kama niliyofanya kwa kuamini kwamba laptop zote zenye core i7 zina uwezo mkubwa zaidi ya xore i5...Nilichukua mara ya kwanza core i7 5600 nikajua nimewin nikafungua uzi ndipo chief mkwawa akaniambia niliyo nayo saizi inaipita hio core i7....Asubuhi sana nilienda kuibadisha nikachukua niliyo nayo sasa...
 
Hiv kompyuta ikiwa ni ya gaming inamaana kazi zengine haiwezi kufanya?? Plz nijulishen
inafanya kazi zozote

Katika computer kazi kubwa kabisa ni gaming na video editing. So ukiwa na computer inayoweza hizo kazi kubwa it means kazi zingine zote ndogo na za chini inaziweza vizuri kabisa.

Ina maana ukinunua computer ya iliyotengenezwa kwa ajili ya kazi ndogo ndogo ina mana kazi kubwa haitoziweza.

Ndo mana mtoa mada anataka ambayo tiari ina nguvu ya kutosha kucheza game lolote. Na kazi nyingine itafanya bila shida yoyote.
 
View attachment 502296
Hawa jamaa wapo vizuri kwa pc, wacheki...pc yangu ni Hp core i5 7200u. intel graphix 620 4gbpamoja na nvidia 930mx 2gb..graphics rendering ni 6gb ..ram 8gb..cost ilikuwa 950,000 tshs nilivyoinunulia huku mkoani mbeya kwenye duka la kompyuta, Sijaweka game ila youtube nlioma ipo fresh kwenye gta 5..N.B msifanye makosa kama niliyofanya kwa kuamini kwamba laptop zote zenye core i7 zina uwezo mkubwa zaidi ya xore i5...Nilichukua mara ya kwanza core i7 5600 nikajua nimewin nikafungua uzi ndipo chief mkwawa akaniambia niliyo nayo saizi inaipita hio core i7....Asubuhi sana nilienda kuibadisha nikachukua niliyo nayo sasa...
Asante sana bro nitakumbuka
 
tafuta laptop ya i5 7200u zinapatikana around 1M mpaka 1.2M zinacheza gta v kwa 720p kwa 30+fps

au utafute laptop ya i3 yenye dedicated graphics, sijui utaipata wapi ila nayo inaweza handle,
Asante sana bro kwa msaada wako
 
Epic Computers

Ingia hapa cheki hizo zenye Nvidia GeForce lakini naona zina range kwenye 1.3mil na ni refurbished au nunua Ps4
hizo laptop zinazoandikwa tu vram bila kutaja exactly aina ya gpu iliotumika ni za kuziogopa,

kwa nvidia ni vyema kuhakikisha ni x50 kupanda gpu kama 930m, 920m, 910m 940m etc huwa hazina maana na zinapitwa kirahisi na gpu za ndani zinazokuja na cpu.
 
Back
Top Bottom