johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,703
- 143,135
Dkt. Kigwangalla akiwa Waziri wa Maliasili na Utalii alianzisha bucha za Nyama pori na kuna Wakati tulikuwa tunauziwa pale kijiji cha Makumbusho.
Je, hizo bucha bado zipo?
Ninahitaji Nyama ya Swala au pofu.
Je, hizo bucha bado zipo?
Ninahitaji Nyama ya Swala au pofu.