badman prezoo
Member
- Sep 24, 2021
- 21
- 10
Eti hiii cause inahusiana na nini na application za kwenye maisha ya kawaida inatumika wapi.
Naombeni ushauri apo jamani.
Naombeni ushauri apo jamani.
ukisoma iyo couz una opportunity ya kupata ajira.Data science ni sawa na statician, wako kwenye analysis ya data zaidi.
Ni new field of study to replace statistics, ila wakipatikana 100ppl basi field inakuwa imejaa the rest watapigika kukosa kazi
Huu ni mwaka 2021 na bado unawaza ajira! Kozi kama hiyo ukiwa smart hutakiwi kulilia ajira wake upukisoma iyo couz una opportunity ya kupata ajira.
okay shukraniiHuu ni mwaka 2021 na bado unawaza ajira! Kozi kama hiyo ukiwa smart hutakiwi kulilia ajira wake up