Halafu hii ndio inaenda kubeba X6 yakoHebu soma ujumbe huo nyuma ya hilo "my dream car"
Ukiwa nalo bongo hulali njaa.
![]()
haha hapo ilipo my dear ishagusa ardhi ukiingia nayo mitaa ya sinza unanasa hapo hapo inapoishia lami haivuki tutamweeehhhhh
hiiiii inaruhusiwa kweli bara barano hahahah lol sante..
looks nice ...🙂
yeah napenda Jeep "Cherokee"
lakini dahhh usifukuzwe tu kazi...
maana ukiacha kazi bora uliuze tu turudi
kwenye "Nissan Prado"....
i like this , simple , cheap Goooooood looooking too lol...
lakutokea tu .. (hata likiporomoka nyumbani easy to get parts )lol
toyota Celica T sport..
Nadhani alimaanisha Nissan Patrol au Landcruiser Prado.....Naamini umeteleza tu hapo..kwani hakuna gari lenye jina hilo!!
Otherwise nice thread and photos.