Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,363
- 1,135
samahani wapendwa skupata jina zuri la kuiipa hii thread..
ni kuhusu magari , mapya , ya zamani na yapi uyapendayo??
nani kakwambia duniani kuna ukomfotabo?too comfortable
Kudadeki, hilo mpaka lifike Sinza kwenye yard za magari used, nitakuwa tayari naitwa babu kama Mungu akipenda.
kesheni mkiomba msijusumbue na mambo ya dunia,mtaviacha acheni njia zenu chafu mkajiandae kuyaelekea makazi ya milele.magari na anasa wenzenu wameviacha.samahani wapendwa skupata jina zuri la kuiipa hii thread..
ni kuhusu magari , mapya , ya zamani na yapi uyapendayo??
Hiyo ni atomic bomb kwa juu.???
:laugh: :laugh: :laugh:fujo hizo ....
haya hilo hapa kwa TZ .. wasemaje??