Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wakuu nakuja tena kwenu kuomba msaada. Ninajua hapa JF ni hazina kubwa. Peter mfanyakazi wa jikoni kule Girrafe hotel jijini Dar , ambayo inamilikiwa na watajwa hapo juu, ameanguka jikoni na kuvunjika hipss. Kwa bahati mbaya kaingia Muhimbili kakutana na mgomo na madaktari hali yake ni mbaya.
Najua Bruno uko madini na nishati, wenzako nk wako pengine ila chonde nawaomba jalini watumishi wenu msaidieni huyu kijana. Haiwezekani awe mzuri akiwa mzima na aumie kazini msijali hata wafanya kazi kujichangisha kumpeleka Muhimbili na nyie hamjali wala hamjafika kumuona.
Utu uwepo jamani na si zaidi pesa hizi tena nyingi ni zetu walipa kodi mnatumia kwa channels zenu tugawane na hasa nyakati muhimu kama sasa. Mwenye kuwajua hawa jamaa awape taarifa wakuu wampe msaada mpishi wao huyu .
Najua Bruno uko madini na nishati, wenzako nk wako pengine ila chonde nawaomba jalini watumishi wenu msaidieni huyu kijana. Haiwezekani awe mzuri akiwa mzima na aumie kazini msijali hata wafanya kazi kujichangisha kumpeleka Muhimbili na nyie hamjali wala hamjafika kumuona.
Utu uwepo jamani na si zaidi pesa hizi tena nyingi ni zetu walipa kodi mnatumia kwa channels zenu tugawane na hasa nyakati muhimu kama sasa. Mwenye kuwajua hawa jamaa awape taarifa wakuu wampe msaada mpishi wao huyu .