Kama babu yao ni kama Jakaya Kikwete kwanini wajukuu wasizaliwe home kwa babu yao? Babu ana mawe ya kutosha kwanini asifurahie uzao wake bwana 😅😅😅Unaweza ukawapenda watoto Sanaa.....kumbe una waharibu....
Wapo wanaume wengine wamezaa mpak watoto watatu na wanaishi nyumbani kwa baba na wake Zao....wanahudumiwa kila kitu na baba zao.....Watoto wa mama "Am going"
Nilicho kuja kuamini kuna watu wameumbwa kusoma watasoma mpk masters ila.....ku transform walicho kusoma ni jambo lingine.....hawana tofauti na Feilures.....
Dunian watu hatufanani..... some other people a so lucky...... kuzidi Lucky yenyewe....
hapana bro aliletwa akiwa mgonjwa mtoto wa shangazi akakulia maana mzee alikuwa na pesa kidogo baba wa huyo bro alishakufaWe inaonekana ni mtoto wa nje tu! Mama yako aliolewa mke wa pili ama?
hapana familia mfano ya mzee anategemewa yeye tu despite wamezaliwa 12 yeye wa kwanza basi anabeba majukumu ya familia yote dada zake shangazi zangu ambaye mmoja ni mother wa huyo bro wna watoto wanne wengine watano ila kati ya shangazi zangu 5 mmoja tu ndo kaolewa wengine wamezalishwa na wanaume tofauti na kutelekezwaHuyo mama lazma ni wa kambo tu! Mke halisi mwenye mji hawezi fukuzwa kizembe
Umoja wa mataifa unapitia upya mpangilio wa umri
Wanasema kuanzia miaka 18 Hadi 65 ni kijana
Sasa kumbe mtu ana matatizo unapata uhalali gani wa kumnyanyapaa mgonjwa we jamaa? Anyways najua mtakuwa wanyakyusa nyie bila shaka mtoto kwa mjomba wake ana thamani sanahapana familia mfano ya mzee anategemewa yeye tu despite wamezaliwa 12 yeye wa kwanza basi anabeba majukumu ya familia yote dada zake shangazi zangu ambaye mmoja ni mother wa huyo bro wna watoto wanne wengine watano ila kati ya shangazi zangu 5 mmoja tu ndo kaolewa wengine wamezalishwa na wanaume tofauti na kutelekezwa
kimbembe wale watoto wote wanamtegemea mzee na babu since wanakua hata likizo walikuwa wanakuja kwa mzee sema wengi watafutaji
huyo bro alikuja home maana alizaliwa na matatizo ya miguu na mzee wake alikufa ndugu wa mzee wake walimkataa maana alikuwa gharama kumlea shule aliluwa kichwa ila unyanyapaa ikamshinda mzee akamleta mjini akiwa na miaka kama 15 akatibiwa karudi kwao alivyorudi tatizo likaanza upya
Sawa kwa wanyaki hilo linaeleweka mtoto anakulia kwa kaka wa mama bila shaka ni mjomba wake huyo mzee wako so hainaga shida.hapana bro aliletwa akiwa mgonjwa mtoto wa shangazi akakulia maana mzee alikuwa na pesa kidogo baba wa huyo bro alishakufa
labda pad zako ziwe mbovu..😁Haya maisha kama game vile. Hayana formula.
bro we kabila gani kwani..😁Sasa kumbe mtu ana matatizo unapata uhalali gani wa kumnyanyapaa mgonjwa we jamaa? Anyways najua mtakuwa wanyakyusa nyie bila shaka mtoto kwa mjomba wake ana thamani sana
hainaga shida huyo anakaa hapo tu kula juu yake sema kuna kipind matatizo yanamrudia mfano miguu inakosa nguvu hii huko nyuma ilimpelekea kufukuzwa kazi ikimshika hawexi kutembea na kazini ni mbali wiki mbili inaweza mtokeaSawa kwa wanyaki hilo linaeleweka mtoto anakulia kwa kaka wa mama bila shaka ni mjomba wake huyo mzee wako so hainaga shida.
Jf kuna watu wanajua sana kuchamba, si wanaume wala wanawake.
Kukaa kwenu sio kosa. Yaani mimi nikapange wakati baba yangu ana mijengo kadhaa ili tu kuwafurahisha watu?
Unajua madhara ya nyumba za kupanga? Uchawi, kugombana na mwenye nyumba, kugombana na wapangaji, wengine hawataki kuchangia luku na maji n.k
Mie ni mmbungubro we kabila gani kwani..😁
45YRSKwa hio na wewe unaamini, hawatofautiani na maraisi wanaobadili katiba ili kujiongezea muda wa kutawala
hao wana agenda zao, average lifespan ya mwafrika ni miaka mingapi?
Mshauri ahamie kwako!Huyu ni mtoto wa baba Mkubwa leo hii ametimiza miaka 40 kwa mzee wake akiwa bado kula kulala yaani still mshikaji mpaka sasa bado anamtegemea mzee wake na hajawahi kujitegemea mpaka sasa namuonea huruma licha kielimu amenizidi coz ana masters
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauri kitu kuhusu maisha. Je, nimshauri nini
Niuzie hiyo tv akose cha kuangalianilisha mueleza jamaa hajibu kitu nina umia mm nilivyomaliza chuo sijakaa hata wiki hapa dar nilirudi home tena kwenda kijijini kuanza mishe maana kwetu mjini nikawa nalaza elfu 4 maisha yanaenda
jamaa kushinda na tv tu
Hatuja mnyanyapaa mimi kama mim umelewa na hayo makabila ya ovyo sipo huko point ni mother aligombana na mzee akihusihwa kunyanyapaa ikiwa ni shinikizo la ndugu wa baba aondoke mama balaa mzee anampigia mother goti mpaka kesho arudi ni miaka 10 sasa hajarudiSasa kumbe mtu ana matatizo unapata uhalali gani wa kumnyanyapaa mgonjwa we jamaa? Anyways najua mtakuwa wanyakyusa nyie bila shaka mtoto kwa mjomba wake ana thamani sana
Kwa Wanyaki hio ni kawaida mbona😅 wala usishangae! Wakiamua lao kama ukoo ujue mama yako ilikuwa lazma asepe tu! Wasingemuacha salamaHatuja mnyanyapaa mimi kama mim umelewa na hayo makabila ya ovyo sipo huko point ni mother aligombana na mzee akihusihwa kunyanyapaa ikiwa ni shinikizo la ndugu wa baba aondoke mama balaa mzee anampigia mother goti mpaka kesho arudi ni miaka 10 sasa hajarudi
jamaa ana tatizo ishu ipo kwa shangazi ndo wnamchomea