jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Huyu jamaa kimya kimezidi sana au nae ni mmoja wa majipu yanayosubiriwa kutumbuliwa?au hapa kazi tu zimemkata ngebe na mdomo?asante magufuli kwa kudhibiti waongeaji na wavivu wa kazi.
Huyo mzee wa lipo lopo na huu syo wakati wake
CCM Kwakweli Wanajuuuuta. Bulembo ni kama kahama nchi. Hapo ni sawa kabisa. Hi nchi ilikuwa na utawala wa Panya haki yamungu. Asante Magufuli.
Mission accomplished! Alishamaliza kaziyake ya kumkata Lowassa..na sasa anajiandaa kuunda kikosi cha mizinga bungeni
Aliambiwa anasumbuliwa na Kubarehe (utoto) akikua ata acha!
Tokea hapo kimya!
Alizoea huku nje ya ngome- kule watu vichwa vinachaji.