Mkewangu... Njoo pande hizi.!! Kimenukaaa...
Tafadhali njoo na lile bango langu nililolichora asubuhi kwa ajili ya maandamano kumtetea tunu ya taifa hili... Mtemi kiongozi D. N. Kisandu..
Mkuu kisandu mimi nakutia moyo, japokuwa wanakifanyia fitina, ila naamini
"hautaishia kuwa Waziri Mkuu tu, bali utakuwa mpaka rais kama ulivyopangiwa"
# BringBackDelKisandu
Cc
Nifah