Habari za Jumapili Wananchi wenzangu?
Miaka ya Mwisho ya Utawala wa awamu ya Nne chini ya Dr Jakaya Mrisho Khalifan Kikweni,kulikua na Aide de Camp wake Kanali Mbaraka Mkelemi....
Baada ya Jakaya Kikwete kuisha mda wake,Kanali Mkelemi akaendelea na Serikali ya awamu ya tano ya Magu....
Mwaka jana Kanali Mkelemi alipanda cheo na kua Brigedia General,kiasi cha kwamba kwa cheo chake,hawezi tena kua Aide de Camp wa Magu,maana yeye mwenyewe kwa cheo chake anatakiwa kua na msaidizi au Aide de Camp....
Sasa nauliza yuko wapi huyu Brigedia General? Alipewa post wapi baada yakupanda cheo? Kuna siku nilimwona pale Don Bosco viwanja vya Basketball jamaa katulia kama sio kigogo flani hivi,mwenye kujua huyu Brigedia General alipo,nitafurahi sana nikipata jibu...
Miaka ya Mwisho ya Utawala wa awamu ya Nne chini ya Dr Jakaya Mrisho Khalifan Kikweni,kulikua na Aide de Camp wake Kanali Mbaraka Mkelemi....
Baada ya Jakaya Kikwete kuisha mda wake,Kanali Mkelemi akaendelea na Serikali ya awamu ya tano ya Magu....
Mwaka jana Kanali Mkelemi alipanda cheo na kua Brigedia General,kiasi cha kwamba kwa cheo chake,hawezi tena kua Aide de Camp wa Magu,maana yeye mwenyewe kwa cheo chake anatakiwa kua na msaidizi au Aide de Camp....
Sasa nauliza yuko wapi huyu Brigedia General? Alipewa post wapi baada yakupanda cheo? Kuna siku nilimwona pale Don Bosco viwanja vya Basketball jamaa katulia kama sio kigogo flani hivi,mwenye kujua huyu Brigedia General alipo,nitafurahi sana nikipata jibu...