Breakup zinauma sana

Breakup zinauma sana

0830x

Member
Joined
Aug 28, 2024
Posts
46
Reaction score
119
Imagine ungekuwa na uwezo wa kugundua kuwa mwezi ujao mpenzi wako unaempenda kwa dhati atakuacha na atakutangaza hadhari kuwa kakupiga cha mbavu. Hapo the smartest move ni wewe kumuacha mapema kabla hajachukua point zote 3 muhimu ili kulinda ego yako. Na ikiwezekana muonyeshe na mtantangaze mpenzi wake mpya hadharani mapema kabisa.

Anyway sijui nataka kusema nini, ila sio kuhusu mahusiano.
 
Imagine ungekuwa na uwezo wa kugundua kuwa mwezi ujao mpenzi wako unaempenda kwa dhati atakuacha na atakutangaza hadhari kuwa kakupiga cha mbavu. Hapo the smartest move ni wewe kumuacha mapema kabla hajachukua point zote 3 muhimu ili kulinda ego yako. Na ikiwezekana muonyeshe na mtantangaze mpenzi wake mpya hadharani mapema kabisa.

Anyway sijui nataka kusema nini, ila sio kuhusu mahusiano.
Usitumie moyo kupenda, tumia akili
 
Watu wakishapata wanachotaka usishagae wakikuacha ingia kwenye mahusiano mguu mmoja nje mwingine ndani hata akitaka kukuacha unavuta tu mguu.
Maisha mafupi no kujitesa
 
Huyo ni mwanaume lakini, itakua kuna single mama kampurura visenti vyake halafu kampiga cha mbavu na warning juu
Kwenye maisha yangu huwa nahisi comfortable zaidi kuachwa. Nakuwa na amani , kuacha huwa nawaza mengi ( hasa huwezi jua atapata maumivu gani ) nikiwaza hapo naona ni bora niumie mie kuliko aumie yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom