Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,453
December ina shida gani..Mm nilishawahi kuumizwa na breakup moja tu ya 2017dec.
Baada ya hiyo sidhani kama kuna nyingine itauniumiza.
Afu siku hizi mbona mambo ya kuachana yanabadilika kidigital zaidi? Yaan ni simple mno .
Mara unastukia mtu hajakutafuta siku inapita nyingine inapita ndo basi tena.
Mm nahisi siku hizi tunaachana kisomi zaidi bila kuumizana wala maneno.
Au nadanganya ndugu zangu? Nyinyi mnaonaje breakups za siku hizi?
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app