Breaking news:

Breaking news:

"Mtu mmoja ajiua na kutoroka anafutwa na Polisi"
mmmh! Mkuu, chukua dakika moja ya utulivu kisha soma tena uzi wako,huenda utarekebisha jinsi ya kuufikisha jamvini. Naona kuna utata kidogo kwa taarifa uloitoa. Jamaa ameijua na kutoroka? kisha anatafutwa na polisi?
Ufafanuzi please!
 
mmmh! Mkuu, chukua dakika moja ya utulivu kisha soma tena uzi wako,huenda utarekebisha jinsi ya kuufikisha jamvini. Naona kuna utata kidogo kwa taarifa uloitoa. Jamaa ameijua na kutoroka? kisha anatafutwa na polisi?
Ufafanuzi please!
Ahahahahaaa,hajakosea mbona?au hujajua upo jukwaa gani mkuu?
 
Back
Top Bottom