stata mzuka JF-Expert Member Joined Nov 25, 2012 Posts 4,834 Reaction score 1,765 Jan 10, 2014 #1 ********BREAKING NEWS******** Ndege imeanguka ikijaribu kutua uwanjani sasa hivi..airport zanzibar..ikiwa imepakia abiria wasiopungua 110. Picha zaidi ziko hapo hiyo link: http://dl.dropbox.com/u/9172768/BBpin21A925C7/21A925C7_BB.jpg
********BREAKING NEWS******** Ndege imeanguka ikijaribu kutua uwanjani sasa hivi..airport zanzibar..ikiwa imepakia abiria wasiopungua 110. Picha zaidi ziko hapo hiyo link: http://dl.dropbox.com/u/9172768/BBpin21A925C7/21A925C7_BB.jpg
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,863 Jan 10, 2014 #2 Hili jukwaa nalo habari zake????????
mbeya yetu JF-Expert Member Joined Dec 21, 2013 Posts 487 Reaction score 102 Jan 10, 2014 #3 jamani wewe unatushitua kumbe toy bwana dah
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,863 Jan 10, 2014 #4 mbeya yetu said: jamani wewe unatushitua kumbe toy bwana dah Click to expand... Hukujua jukwaa hili ni kwikwi??????
mbeya yetu said: jamani wewe unatushitua kumbe toy bwana dah Click to expand... Hukujua jukwaa hili ni kwikwi??????
Arushaone JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 15,235 Reaction score 13,539 Jan 10, 2014 #5 Ndio sababu nataka niliame jukwaa hili mazima mkuu!!!!!!!!!!
Arushaone JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 15,235 Reaction score 13,539 Jan 10, 2014 #6 Mzee said: Hukujua jukwaa hili ni kwikwi?????? Click to expand... Ndio sababu nataka kulihama jukwaa hili mazima mkuu!!!!!!!!!!
Mzee said: Hukujua jukwaa hili ni kwikwi?????? Click to expand... Ndio sababu nataka kulihama jukwaa hili mazima mkuu!!!!!!!!!!
Jerrymsigwa JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 14,084 Reaction score 8,400 Jan 10, 2014 #7 Puuuumbafu kbs, peleka jokes huko sio hapa CC
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,948 Reaction score 13,378 Jan 10, 2014 #8 Kwani we vipi? Nalog off
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,863 Jan 10, 2014 #9 Arushaone said: Ndio sababu nataka kulihama jukwaa hili mazima mkuu!!!!!!!!!! Click to expand... Ukihama tunaitisha Maandamano.....
Arushaone said: Ndio sababu nataka kulihama jukwaa hili mazima mkuu!!!!!!!!!! Click to expand... Ukihama tunaitisha Maandamano.....
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Jan 10, 2014 #10 Mh,watu bwana
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Jan 10, 2014 #11 Arushaone said: Ndio sababu nataka niliame jukwaa hili mazima mkuu!!!!!!!!!! Click to expand... ukihama jukwaa hamisha na ndoa
Arushaone said: Ndio sababu nataka niliame jukwaa hili mazima mkuu!!!!!!!!!! Click to expand... ukihama jukwaa hamisha na ndoa
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Jan 10, 2014 #12 Mzee said: Ukihama tunaitisha Maandamano..... Click to expand... na tunamvua urais wa chitchat
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Jan 10, 2014 #13 Lady doctor said: ukihama jukwaa hamisha na ndoa Click to expand... Umenena vyema, asilete utozi wa R chuga hapa...!
Lady doctor said: ukihama jukwaa hamisha na ndoa Click to expand... Umenena vyema, asilete utozi wa R chuga hapa...!
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Jan 10, 2014 #14 Baba V said: Umenena vyema, asilete utozi wa R chuga hapa...! Click to expand... ye hajui kama ana mke cc au anataka kunimwaga 'kisailensa?'
Baba V said: Umenena vyema, asilete utozi wa R chuga hapa...! Click to expand... ye hajui kama ana mke cc au anataka kunimwaga 'kisailensa?'
BLACK SUPERMAN Senior Member Joined Nov 28, 2013 Posts 158 Reaction score 196 Jan 10, 2014 #15 Ahah! Vituko
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Jan 10, 2014 #16 Ungekua karibu ningekutia konzi
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Jan 10, 2014 #17 'Valentina' said: Ungekua karibu ningekutia konzi Click to expand... Daughter mzima weye...!?
shansarie JF-Expert Member Joined May 25, 2013 Posts 5,690 Reaction score 3,370 Jan 10, 2014 #18 Baba V said: Umenena vyema, asilete utozi wa R chuga hapa...! Click to expand... Yule mtu aliyetaka kukuvua madaraka kaishia wapi maana hata jina nimemsahau
Baba V said: Umenena vyema, asilete utozi wa R chuga hapa...! Click to expand... Yule mtu aliyetaka kukuvua madaraka kaishia wapi maana hata jina nimemsahau
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Jan 10, 2014 #20 hivi milembe bado ipo ...?