Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,301
- 829,353
Ili watu waishi kama shetaniNimestukaje!
Maana ingekuwa tumepata faraja kwa mara ya kwanza tangu serikali hii kuanza kazi.Ikumbukwe kuwa kipaumbele cha serikali hii ni kuleta machungu kwa kila mwananchi.
